Inakuwaje Mwanafunzi wa Form Six kusoma Diploma sawa na Form Four failure?

Inakuwaje Mwanafunzi wa Form Six kusoma Diploma sawa na Form Four failure?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.

Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki

Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.

Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).
 
Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.

Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki

Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.

Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).
Mwambie mdogo awe na utulivu tu maisha ya sasa yanawahitaji wenye bahati kuliko wenye uwezo
Asijione yeye ni special sana kuliko wengine wenye d4 aendelee kuwa mnyenyekevu kwa Mungu wa mbinguni
 
okay, madogo wanafaulu sana tatizo 1 ya tisa pcb inakua ndogo . apambanie ndoto mkuu heslb wapo
Inabaki kama million 4, na broo wake hapa ni mshika Chaki siwezi kumsaidia kitu, nakumbuka mwaka wangu PCB two ya 11, nikaishia kuwa Mwalimu, wakati wenye marks sawa na zangu walienda china kusoma MD, Pesa ndio kila kitu aisee.
 
Kwenye ufaulu ni bora sana kuliko huyo aliyekua mzembe akapata D4, hiyo haina uhusiano na bahati ni uzembe tu.
Hayo ni maono yako lakini Kuna watu walikuwa vichwa lakini navyowaona sasa sikutegemea kwa hali ya sasa mwambie tu aendelee kuwa mnyenyekevu aombe sana ili milango ya mafanikio iwe wazi sehemu zote
 
Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.

Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki

Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.

Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).
Nadhani bado hujaelewa msingi wa diploma, why it ipo, we had div 1 na 2 wanapiga diploma, although mimi nilikuwa degree by then
And soko la ajira limebadilika sana this day, zamani diploma was nothing. But the imerudi kwa soko
 
Back
Top Bottom