Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Manake hapo utalipia 4milionNi kweli, heselb nadhani wanatoa 3.1M,
Haiwezi tokea broNatabiri kigezo cha mbeleni kuajiriwa serikalini uwe umepitia f6 hapa watapunguza wengi walopita shortcut
Ulichokiongea ni non sense mkuuSerikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.
Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki
Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.
Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).
Mwambie aende tu Kuna watu nimesoma nao walikuwa na degree za ualimu na wakarudi kusoma diploma course za afyaSerikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.
Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki
Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.
Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).
Ukitolea mfano wa Kenya utakuwa unakosea, mifumo yetu ya elimu iko tofauti kabisa. Sisi ni 7-4-2 alafu university, wao ni 8-4 alafu universityHuyu hajielewi,huyo mdogo wake,kapoteza mda wa A level,hapo Kenya,mwisho ni O level,unakwenda University.
Uko sahihi .Huyo Dogo ni mpumbavu Kuna watu tulipiga one 1 form four na Bado tulienda vyuo kuanza Diploma na kukutana watu waliyo kula division four secondary tukapigania malengo yetu tukahitimu tukaendelea na maisha yetu na wengine ambao tulipiga nao naskia saivi Wana masters na division four zao hizo walizopiga.
Nimshauri huyo Dogo kama kweli ana malengo yeye akaanze OD akapige kigumu apiganie malengo yake haina haja ya kutazama wengine. Yeye hata kama angesoma na wenye zero kigumu apambanie malengo yake Ili aweze fikia ndoto zake.
Kil la kheri.
Wajisahihishe wenyewe waache kuwapangia Chuo wanafunzi wa form four wenye credit za kwenda high level.Natabiri kigezo cha mbeleni kuajiriwa serikalini uwe umepitia f6 hapa watapunguza wengi walopita shortcut
Exactly.Wajisahihishe wenyewe waache kuwapangia Chuo wanafunzi wa form four wenye credit za kwenda high level.
Serikali haichagui mwenye D 4 kusoma kozi za Afya ngazi ya Diploma ktk vyuo vyake. Inachukua division one na div two kadhaa. Nimeshuhudia mwenye div one ya points 11 ya form 4 amechaguliwa Diploma ya Nursing UDOMSerikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.
Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki
Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.
Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).
Maisha ya chuo/college yanahitaji kujipanga ili kukabiliana na changamoto, kama wahenga wanavyosema changamoto ni kipimo cha akili. Miongoni mwa changamoto hizo ni chakula na malazi/makazi/accomodation (Sio maradhi wapendwa😊).Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.
Mdogo wangu form four kapata division 1 , akaenda advance PCB pia kufaulu kwa division 1 point 9, CCC, lakini ka-apply MD kakosa, na ndoto zake ni kua daktari, akifikiria labda asome Diploma anakutana na waliosoma form four wala hawakwenda a-level, dogo kachanganyikiwa naona mwishoni atakuja kwenye chaka la washika Chaki
Naona kama sio sawa nakumbuka miaka ya zamani division 3 alikua anasoma udaktari, lakini mambo yamebadilika competition imekua kubwa sana, kwa kijana yoyote mwenye ndoto ya kua daktari bora apitie form four asome diploma then ataunganisha, maana kwa form four kwenda kusoma course za afya ni D 4 tu, vyuo viko vingi sana, kuliko kwenda advance, ukienda advance hakikisha unasoma kweli na upate division 1 ya 7, tofauti na hapo ndio utasikia watu wanakimbilia course zingine ambazo hazikua kwenye mipango yao.
Kwa miaka hii njia nzuri ya kufikia ndoto zako ni kusoma diploma kupitia form four, ukijichanganya kwenda advance utashangazwa (kwa course za science).