Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,472
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
 
Wewe Umekimbilia Kuoa Unajiona Mjanja.Ngoja Wenzio Tumalize Kwanza Ujinga Wetu.Kuoa Badae Kula Ujana Na Kumaliza Ujinga Ndo Habari Ya Mujini.Ujinga Wako Endelea Kuuhifadhi Tu Ila Utakuja Kuurudia Uzeeni.Nadhani "Mtu Mzima Ovyo" Unahusika Nalo Time Will Tell.
 
.nilikuwa nasoma na lijamaa limoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko linajifanya lenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend...",.
kwa kusoma huu UZI: nimegundua TATIZO LINALOKUSUMBUA ZAIDI NI SWAGA ZA HUYU JAMAA.

.......hela anayo, lakini akili ya kuoa hana....
KUmbe ushajua ye mambo safi sio sasa ulikua unabisha nini kule mwanzo...:yo:
 
Hivi inakuwaje duem zima linakuwa na pesa za kutosha, limefika 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa liko na girl friend tu, au pengine hata halijaoa? hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah...nilikuwa nasoma na lijamaa limoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko linajifanya lenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend...", wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha,,sasaivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana...wanaume wenzangu mnakesa sana wakati mwignine.

Angeoa mapema asingekuwa na hela kama alizonazo sasa
 
nyie oeni,si tuwatafunie wake zenu.unaoa ndani hujitumi ukishapita baa ukapata kitimoto ukashtua na bia mbili tatu ukirudi hm ni kuzimika,siku ya pili wajanja tunakula mzigo.tukioa wote nani atakuwa mchepuko
 
Nilidhan mtoto wa kike,sasa kama wewe mtoto wa kiume kuoa au kutooa kwa mwanaume mwenzio kunakuhusu nin?jiangalie vizuri.

Kuna kanuni ya kiasili, PANDE ZINAZOFANANA ZINAKWEPANA LAKINI ZINAZOTOFAUTIANA ZINAVUTANA; sasa wewe vip?ebu hayo muachie dada yako na mke wako.
 
Hivi inakuwaje duem zima linakuwa na pesa za kutosha, limefika 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa liko na girl friend tu, au pengine hata halijaoa? hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah...nilikuwa nasoma na lijamaa limoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko linajifanya lenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend...", wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha,,sasaivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana...wanaume wenzangu mnakesa sana wakati mwignine.
Acha kukariri.
 
Mazembe hayo,yanakimbia majukumu.
 
Back
Top Bottom