Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
Kuoa ni utumwa utaletewa ukimwi
 
Wewe Umekimbilia Kuoa Unajiona Mjanja.Ngoja Wenzio Tumalize Kwanza Ujinga Wetu.Kuoa Badae Kula Ujana Na Kumaliza Ujinga Ndo Habari Ya Mujini.Ujinga Wako Endelea Kuuhifadhi Tu Ila Utakuja Kuurudia Uzeeni.Nadhani "Mtu Mzima Ovyo" Unahusika Nalo Time Will Tell.
 
Back
Top Bottom