Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Ukioa mapema kuna uwezekano mkubwa wa kuupata umasikini

ambayo haijaoa mingi haipendi maendeleo ipo ipo tu inasubiri mtu wa kuja kumuinua labda malaika, walio ndani ya ndoa wengi wameendelea wanapata ile stability na uchu wa kutafuta maendeleo inapatikana nguvu kutoka pande zote mbili
 
Ni kweli kila mtu na comfortability na maamuzi yake mwengine hapendi maisha ya ndoa
 
ambayo haijaoa mingi haipendi maendeleo ipo ipo tu inasubiri mtu wa kuja kumuinua labda malaika, walio ndani ya ndoa wengi wameendelea wanapata ile stability na uchu wa kutafuta maendeleo inapatikana nguvu kutoka pande zote mbili

Mkuu ukikimbilia kuoa mapema kwa maisha yetu haya ya kubangaiza na upate na mwanamke kichwa maji then upate tu watoto wawili tu...usitegemee kutimiza ndoto ulizokuwa nazo kabla ya kuoa.
 
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.

Ebana kuoa ni target na sio fassion elimrad tu umeoa! utakuja umie pamoja na kuwah kwako kuoa!
 
Kaa makini xana wew unaejdanganya kuoa mapema, kwanza kaa mbal xan ucje kutuambukza tabia yako ilvo mbaya.
 
Afadhali wewe uliyejionea hilo!

Watu wamekuwakia kwasababu ukweli unauma. Tena umewachoma ipasavyo. Basi kama mnajifanya mnatafuta maisha endeleeni kuyatafuta na acheni kuwazeesha mabinti za watu.

Kuoa hamuoi kazi kuwapa mimba mabinti za watu na kuwaharibia future. Na wengine mnawaweka kabisa majumbani kwenu ili wawafulie na kuwapikia...sasa ya nn kumgeuza binti wa watu km tahira eti akufanyie shughuli zako zote lkn kwenda kumtolea mahali kwao unaona shida. Mnaboa kwa kweli..

Majukumu hayaishi ht siku moja, kwahiyo msitudanganye hp eti ooh tunatengeneza maisha!! Uongo mtupuuu.. na siku zote kaa ukijua wawili ni bora kuliko mmoja. Unapooa mnakuwa wawili mtawaza pamoja..mtajijenga pamoja na mtaendelea pamoja. Kwahiyo muache kujitafutia sababu.

Kama hamtaki kuoa acheni na kuzini na wasichana wa watu!Hapo ndo tutaenda sawa hata ukitaka ukae miaka 100 utajijua ili mradi tu hausumbui binti za watu.

Ni yupi mwenye nafuu: asiyeoa lakini anagonga binti za watu au aliyeoa lakini bado anachapa mabinti kibao pembeni???
 
kwani kuoa lazima!! kila mtu na mipango yake bwana.
we hiyo miaka 25 wengine bado wapo vyuoni na ndio kwanza masomo yamekolea.. kuoa sio fashion, mtu unaoa ndani una godoro tu, wengine pesa zipo lakini anajua nini hasa anachosubiri si kwamba amekaa tu we hujui anawaza nini au amepanga nini..
 
kwani kuoa lazima!! kila mtu na mipango yake bwana.
we hiyo miaka 25 wengine bado wapo vyuoni na ndio kwanza masomo yamekolea.. kuoa sio fashion, mtu unaoa ndani una godoro tu, wengine pesa zipo lakini anajua nini hasa anachosubiri si kwamba amekaa tu we hujui anawaza nini au amepanga nini..
Leo ww ndo wa kukomenti hivi? mbona sitaki kuamini?
 
Chi ndo hapo chacha!! Leo wanaume humu wamebadilika kama sio wale wa jf!! Hata siamini, wanavyowashupaliaga wanawake ila humu leo wanavyotoa madongo, eti maisha sio kuoa au kuolewa, sasa kule wanakowakomaliaga wanawake waolewe sijui huwa kuolewa ni lazima!!!
Hahaaaaa long live jf.
Ndo hapo nami nashangaa leo yamewakuta yapi?
 
Acha kupotosha umma ww!
Hizo western culture haziingiliani na maisha halisi ya kibongo!

Ndio maana katiba ya Tz inasema mojawapo ya sifa za rais awe ameoa au kuolewa!

Alafu kuoa au kuolewa ni sifa nzuri kwa jamii na humpendeza Mungu.

Mkuu hivi kweli na akili zako unadhani kuwa na mke au mume ndio uwezo wa kuongoza? Au kwako kwa sababu imeandikiwa kwenye katiba ndio kama mstahafu kwako?

Hivi suala la kuoa au kuolewa lina uhusiano gani na utamaduni? naweza kukubali kuwa aina ya kuona inahusiana na utamaduni lakini kuoa kwenyewe ni auamuzi na uwezo wa mtu.

Ulaya kuna watu wanaoa wakiwa na miaka 20, sasa tunaweza kusema tusioe na miaka 20 kwa kuwa ni western culture? au wanaaolewa na miaka 20 tunaweza kusema tusifanye hivyo kwa kuwa western culture wanafanya hivyo? Unaamini kuwa ukioa unaoa kwa ajili ya sifa au kumfurahisha mungu?

Vizuri tukielimisha mkuu, wengine tuko nyuma kiasi.
 
du ukisoma baadhi ya post za hapa unaona kabisa kuna watu bado wato stone age, wengine iron age wengine IT age.
 
Mkuu hivi kweli na akili zako unadhani kuwa na mke au mume ndio uwezo wa kuongoza? Au kwako kwa sababu imeandikiwa kwenye katiba ndio kama mstahafu kwako?

Hivi suala la kuoa au kuolewa lina uhusiano gani na utamaduni? naweza kukubali kuwa aina ya kuona inahusiana na utamaduni lakini kuoa kwenyewe ni auamuzi na uwezo wa mtu.

Ulaya kuna watu wanaoa wakiwa na miaka 20, sasa tunaweza kusema tusioe na miaka 20 kwa kuwa ni western culture? au wanaaolewa na miaka 20 tunaweza kusema tusifanye hivyo kwa kuwa western culture wanafanya hivyo? Unaamini kuwa ukioa unaoa kwa ajili ya sifa au kumfurahisha mungu?

Vizuri tukielimisha mkuu, wengine tuko nyuma kiasi.

Sijakuelewa hasa point yako iko wapi hapa?
 
Unaweza ukawa na pesa ila ukakosa busara za kuishi na mke kwa hiyo bora ujipange kwanza kupunguza watoto wa mitaani wanaotokana na ndoa za mwezi mmoja mara kila mtu njia yake
 
Leo ww ndo wa kukomenti hivi? mbona sitaki kuamini?
uniqe DADA swala la mtu kuoa linahitaji kujipanga, na kujipanga si kuwa na pesa tu hata utayari wa akili.
siku hizi umri si tatizo, pengine mtu yawezekana hajaona wife material anayemhitaji au ishu nyingine. Hatuangalii mke tu,lazima upate picha ya familia nzima itakavyokuwa hapo baadaye.
 
Last edited by a moderator:
Sijakuelewa hasa point yako iko wapi hapa?

Unaposema hautuwezi kuiga utamaduni wa magharibi maana yake nini? Umesema kwa mazingira ya kibongo haiwezekani lakini ya kimagharibi inawezekana. Nimetoa mfano kuwa kuna watu magharibi wanaoa wakiwa na miaka 20 na wengine miaka 50. If we do the same can we be called imitating westerners? Point is ndoa si suala la kuiga, kila mtu ana conditions zake.

Unaposema hata kwenye katiba imeandikwa....ina maana wewe mawazo yako kuhusiana na ndoa yanatokana na katiba au mazingira yako binafsi? Au kuoa kunaongeza uwezo wa utendaji wa mtu kuwa rais? My point here is, marriage is a personal issue regardless of what constitution says. Na kama huna uwezo wa kuongoza hata ukioa au ukiolewa, hali hiyo haibadiliki licha ya kuandikwa kwenye katiba.

My main point is ndoa ni suala binafsi. kuona na miaka 20,40 au 60 ni uamuzi binafsi wa mtu. Kumuuliza mwanaume kwanini hajaoa is very gay.
 
uniqe DADA swala la mtu kuoa linahitaji kujipanga, na kujipanga si kuwa na pesa tu hata utayari wa akili.
siku hizi umri si tatizo, pengine mtu yawezekana hajaona wife material anayemhitaji au ishu nyingine. Hatuangalii mke tu,lazima upate picha ya familia nzima itakavyokuwa hapo baadaye.
Nimekuelewa kiongozi lakini kwa nini mwanamke anayefikisha miaka 30 hajaolewa huwa mnampiga majungu na kumuita majina mabaya?coz kama kuoa ni maamuzi ya mtu likewise kuolewa napo ni maamuzi ya mtu mwenyewe huwezi kulazimisha kuingia kwenye ndoa kisa marafiki zako,schoolmate,majirani zako wote wameoewa ndio ni zaidi ya tendo la ndoa so leo yamewakuta wanaume mnakuwa wakali hebu acheni kuogopa majukumu bana OENI
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa kiongozi lakini kwa nini mwanamke anayefikisha miaka 30 hajaolewa huwa mnampiga majungu na kumuita majina mabaya?coz kama kuoa ni maamuzi ya mtu likewise kuolewa napo ni maamuzi ya mtu mwenyewe huwezi kulazimisha kuingia kwenye ndoa kisa marafiki zako,schoolmate,majirani zako wote wameoewa ndio ni zaidi ya tendo la ndoa so leo yamewakuta wanaume mnakuwa wakali hebu acheni kuogopa majukumu bana OENI

haha hakuna anayeogopa majukumu... mwanamke hata akifikisha miaka 30 hajaolewa siwezi kushangaa...ila zaidi ya hapo lazima kuna tatizo ila sio kwa mwanaume.
 
Back
Top Bottom