noiselessly hunter huyo mwanamke mi ndio namtafuta eti,hivi wanapatikana Dar hao wa hivyo???
Mimi apa na ninapatkana dar
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
noiselessly hunter huyo mwanamke mi ndio namtafuta eti,hivi wanapatikana Dar hao wa hivyo???
Hivi kwani kuoa/kuolewa ni lazima??
Weusi tunawaza kuoa na kuzaa tu.. Hatuwazi kugundua vitu vya kuifanya dunia iwe sehemu nzuri ya kuishi.. Tunawaza kujaza watu tu duniani.. Akili finyu kabisa
Imagine!...kisha kuzama baharini wakijaribu kutorokea nchi za wenzao(immigrants) ....wenzao waliowekeza muda wao wote kuzijenga wakati wao wakiwaza ngono,kuoana ovyo ovyo na kuzaana.
Wacha wachapwe sindano za infertility ,Ebola na HIV ndio wakome kujaza taabu,umasikini na njaa ulimwenguni kwa sababu hawawezi kamwe kuwaza ni jinsi gani watafanya dunia pawe pahali pazuri pa kuishi.....wao ni kuwaza tu jinsi ya kujaza.
Greetings from Kenya.
mi mpaka nifikishe 55.
acha nile maisha kwanza bana....
hii nafasi haiki mara mbili asee
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?
Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.
Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".
Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.
Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.
Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
Imagine!...kisha kuzama baharini wakijaribu kutorokea nchi za wenzao(immigrants) ....wenzao waliowekeza muda wao wote kuzijenga wakati wao wakiwaza ngono,kuoana ovyo ovyo na kuzaana.
Wacha wachapwe sindano za infertility ,Ebola na HIV ndio wakome kujaza taabu,umasikini na njaa ulimwenguni kwa sababu hawawezi kamwe kuwaza ni jinsi gani watafanya dunia pawe pahali pazuri pa kuishi.....wao ni kuwaza tu jinsi ya kujaza.
Greetings from Kenya.
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?
Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.
Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".
Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.
Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.
Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?
Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.
Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".
Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.
Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.
Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
Afadhali wewe uliyejionea hilo!
Watu wamekuwakia kwasababu ukweli unauma. Tena umewachoma ipasavyo. Basi kama mnajifanya mnatafuta maisha endeleeni kuyatafuta na acheni kuwazeesha mabinti za watu.
Kuoa hamuoi kazi kuwapa mimba mabinti za watu na kuwaharibia future. Na wengine mnawaweka kabisa majumbani kwenu ili wawafulie na kuwapikia...sasa ya nn kumgeuza binti wa watu km tahira eti akufanyie shughuli zako zote lkn kwenda kumtolea mahali kwao unaona shida. Mnaboa kwa kweli..
Majukumu hayaishi ht siku moja, kwahiyo msitudanganye hp eti ooh tunatengeneza maisha!! Uongo mtupuuu.. na siku zote kaa ukijua wawili ni bora kuliko mmoja. Unapooa mnakuwa wawili mtawaza pamoja..mtajijenga pamoja na mtaendelea pamoja. Kwahiyo muache kujitafutia sababu.
Kama hamtaki kuoa acheni na kuzini na wasichana wa watu!Hapo ndo tutaenda sawa hata ukitaka ukae miaka 100 utajijua ili mradi tu hausumbui binti za watu.
Maisha ya heshima ni kuwa na familia yako, uwe na mke hata unapoishi utaheshimika.
Pumba tupu..
Hakuna point..
Wapi mleta mada Kazungumzia swala la kupeana Mimba..!!!??
Kama umepewa ukakataliwa tulia tuliiii kama maji ya mtungi maana hukulazimishwa ulitanua mwenyewe kwa ushamba wako ..!!