Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Mtume alituambia kuwa...kuoa ni sawa na kutumbukiza mkono gizani
Kwa lugha nyepesi ni kwamba kuoa ni kama kucheza mchezo wa bahati nasibu.....
Unaweza ukampata mke atayekufanya ujiulize kwanini ulichelewa kuoa....
Vile vile unaweza ukampata atakayefanya uilaani ndoa na ujute kwanini ulioa....
Hakuna asiyependa kuoa isipokuwa wengi wanatishwa na kuogopeshwa na vitimbi vya kwenye ndoa....
Jambo la msingi ni kumuomba MUNGU akupatie MKE na sio MWANAMKE..

Change your thinking change ur life cos what u think is wat u will get kama unawaza negative kuhusu maisha ya ndoa usitegemee kuwa na ndoa yenye furaha na amani.Pia kumuomba Mungu u need to do your part first then God will do the rest .Kwa wale wakristo hata Mungu alipotaka kuifungua bahar ya sham wanaisrael wapite alisubir wakanyage ndan ya maji that means they took their first step of faith kwa kukanyaga ndani ya maji then the pathway was opened by the Lord .Amen
 
Sijaolewa, umri unaniruhusu hata Nikimwambia MTU sijaolewa hawezi kufikiria kunianzishia Uzi jf.....N Inshaallah soon I ll be Mrs somebody...

Na wewe umeoa? Wasubiri nini?
siku nikipata mwanamke mkweli,hana chembechembe za unafiki,hana tamaa uliyopitiliza,atakaenikubali kwa ulofa wangu,anaejua maisha ni kitu gani,atakaenikubali kwa shida na raha toka moyoni,ntaoa,
sitochukua hata wiki ntaoa,
 
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
Hivi kwani kuoa/kuolewa ni lazima??
 
"huu uzi unanilenga mimi sio mazafantaz? le gadem mburulazzz, ndio maana hamna maendeleo u know? Nimekaa ulayaz miaka 45 sijawahi kusikia hii, kuoa ni kujipanga, mpaka uwe na digrii tatu na nyumba downtown citi senta...nitarudi ikifikia peji ya 10":smile-big:
 
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.

Kuoa/kuolewa siyo lazima ila ni muhimu. Kama mpaka 40+ yrs mtu hajafanya maamuzi basi hajitambui vizuri! Kama kaamua kuishi bila ndoa basi si vyema mtu mzima ahangaike na wanawake/wanaume barabani....
 
Atakuwa Le profeser huyo tena ni Le Muntuz mtoto wa Jumanne
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
 
Kuoa au kuolewa ni uamuzi wa mtu binafsi.
Acha kufanya dunia ifikiri kama unavyofikilia wewe.
Pesa sio sababu uoe kuna mamilioni ya watu mwanalumango huko wanalala chini wanakula mlo mmoja lakini wameoa na wanawatoto wa5 pesa sio kigezo
 
siku nikipata mwanamke mkweli,hana chembechembe za unafiki,hana tamaa uliyopitiliza,atakaenikubali kwa ulofa wangu,anaejua maisha ni kitu gani,atakaenikubali kwa shida na raha toka moyoni,ntaoa,
sitochukua hata wiki ntaoa,

Labda umuumbe mwenyewe, kila mja ana mapungufu, mapenzi si kuwa na wale wenye vigezo tunavyovitaka na tunaoendana nao, mapenzi ni kuvumulia mapungufu ya wengine.....pale palipopungua tunapajaza upendo.

Sa we endelea kumsubiri huyo unayemuota hadi uzeeke.
 
tena aje umgegede, analeta maisha ya kijijini, by the way yy anaonekana ana n*y*e*ge za jogooo ndo mana kuoa mapema anaona kayapatia, aache wenzake wazikinai kwanza then wataoa tatizo pilipili iko shamban yy inamuwasha

unatafuta mume?
 
ww jamaa lazima uwe s*h*oga, kuoa ni hisia, na hisia kila binadamu ana zake zinatofautiana, ww kama zako zipo karibu mwingine zipo mbali. Kingine ni life style jinsi mtu alivokua, uzoefu unaonyesha watu waliokulia vijijini wanaoa mapema sana, ila waliokulia mjini mara nyingi kuoa sio issue sana, kwa hiyo ww usilete ulofa wako wa kijijini

Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
 
ww jamaa lazima uwe s*h*oga, kuoa ni hisia, na hisia kila binadamu ana zake zinatofautiana, ww kama zako zipo karibu mwingine zipo mbali. Kingine ni life style jinsi mtu alivokua, uzoefu unaonyesha watu waliokulia vijijini wanaoa mapema sana, ila waliokulia mjini mara nyingi kuoa sio issue sana, kwa hiyo ww usilete ulofa wako wa kijijini
unaniita shoga mimi? kwani nimemla tigo babako?babako alikwambia mimi namtatua marinda yake ndo mana unanitukana tusi hilo? we ---- kweli. kwa taarifa yako mimi ni baba yako, kamwulize mamako atakwambia. shenzi.
 
mkuu mwanaume kuoa ni uamuz,,,,,,hata akifikisha miaka 70 anaweza kuoa na akasababisha mimba vizur tu (refer mzee machache),,,,,kwaio usikimbilie kuoa wakat hutak et kisa watu watanionaje,,,,life is all about choices

tofaut kwa wadada ni kwamba wao kuzaa kuna umri wakifika hawawez ndo mana wanashauriwa kuolewa mapema,,,,pia wao sio jukumu lao kuu kuleta mkate mezan tho siku iz wanaleta pia........hivyo basi tunawashaur waolewe/wazae mapema km wanataka kuolewa/kuzaa

mwisho UACHE KUTAMAN MAISHA YA WENZAKO,,KWAN NAN ALIKWAMBIA UOE???ur life ur choice
 
siku nikipata mwanamke mkweli,hana chembechembe za unafiki,hana tamaa uliyopitiliza,atakaenikubali kwa ulofa wangu,anaejua maisha ni kitu gani,atakaenikubali kwa shida na raha toka moyoni,ntaoa,
sitochukua hata wiki ntaoa,


noiselessly hunter huyo mwanamke mi ndio namtafuta eti,hivi wanapatikana Dar hao wa hivyo???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom