Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Kami mimi nina 39 na sina hata mpango wa kuowa, natafuta mwanamke anizalie mtoto basi, napata raha sana nikiishi mwenyewe bila mke, Na wote wanaonishauri niowe hawasemi wao wamepata faida gani baada ya kuowa au kuolewa.
 
Cjawah kuckia kuwa kuna umri wa kuoa au kuolewa kila mtu amejipangaje hata akifika 90 n maisha yake
 
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.

Yani wewe huna tofauti na mijitu ya pale Lumumba...maana wanaacha kufuatilia ya mgombea wao magufuli wanafuatilia sana ya ndani ya UKAWA....jenga ndoa yako ya huyo rafiki yako hayakuhusu kabisa.
 
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiii aiseee kuangukia pua sasa hapo utaonekanaje kwa watu mana reception yote bora maana pua ndo uzuri wenyewe shosti
ndiyo uwe makini usije olewa na mizigo... unaolewa nyumba inageuka kuzimu ndogo
 
Ehehehehehehehehehiyaaaaaa waache wapashane maana walizidi kila saa kutusema siye sijui tumewakoseani aiseeeee

Eti wanalialia hawa taki kuoa eti wanakula ujana uzee cjui watakula na nan waambie waoe buanaa waache kujidogosha na kukimbia majukumu hamna namna.
 
Hayo ni maamuzi na style ya maisha mtu aliyoichagua
Huwezi kumlazimisha kufanya vile wewe unataka au unavyoona ni sahihi
 
Mtoa thread either uwezo wake wa kufikiri ni mfinyuu sana or. Ana jealous na huyo jamaaa...!!! Yawezekanaa jamaa ana good life zur sanaa na jamaa n chokaa.!!
 
Unajua kila mtu na sheria zake. Mimi nimeona watu wameamua tu kuishi maisha ya u bachelor sababu wanayapenda.
Vile vile kuna baadhi ya watu wameamua kuoana mke na mume ila wameamua kutozaa.

Kuna wengine wameamua kuwa single forever ila wanaamua kuzaa mtoto/watoto. Hawa utakuta single mama au baba, na bado ana furaha na maisha yake.

Hata huyo rafiki yako, hayo ni maisha yake kaamua, as long as hayakuumizi..... just mind your own business.
 
Huhuuuuu!! Kwa mwanaume ni majungu, akisemwa mwanamke watu yanawatoka hadi suruali zinawabana, hivi kumbe mwanamke hana uchaguzi ktk haya maisha!!! Just thinking aloud, msijenge chuki.
 
Wanaogopa kugawana mali pasupasu na msichana ambaye hana kitu lkn hajaja na mtaji ila anataka mgawane kila mlichovuna mkiwa pamoja tena anatafuta visa ili mgawane hata kama hukuwa na mpango wa kuachana.
 
Akili ya maisha hana huyo though ana hela maturity sio idadi ya miaka uliyonayo ni idadi ya majukum uliyonayo na life choices unazozifanya zinaonyesha how mature u are.
 
Back
Top Bottom