Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Inakuwaje mwanaume mpaka una miaka 30 au 40 haujaoa na una hela?

Mtume alituambia kuwa...kuoa ni sawa na kutumbukiza mkono gizani
Kwa lugha nyepesi ni kwamba kuoa ni kama kucheza mchezo wa bahati nasibu.....
Unaweza ukampata mke atayekufanya ujiulize kwanini ulichelewa kuoa....
Vile vile unaweza ukampata atakayefanya uilaani ndoa na ujute kwanini ulioa....
Hakuna asiyependa kuoa isipokuwa wengi wanatishwa na kuogopeshwa na vitimbi vya kwenye ndoa....
Jambo la msingi ni kumuomba MUNGU akupatie MKE na sio MWANAMKE..
 
Haha you sound hurt bro, calm down. Channel that anger and energy to the right places, your own affairs. Labda ungejaribu kuwaonyesha jinsi gani maisha ya familia ni baraka na mazuri wangetamani wafanye mambo. Ila kwa hii tone, inaonekana unatamani maisha yao. I'm just saying.

Besides, kama unawajua tafuta namna uwaambie moja kwa moja. Men say things about other men in their faces, bro.

And y'all bros in your 30s-40s, act your age. Family or not.
 
Watu tunasomesha wadogo zetu, ndg zetu na kusaidia wazazi wetu tuna 27 na bado hatujaoa. Hebu funguka akili yako KUTO KUOA SIO KUKIMBIA MAJUKUMU, madogo wakisoma mpaka level ninayoitaka ndpo nitaoa maana wanawake wa siku hizi weng wao hawaelewek, akiwa mchumba anajifanya ni mstaarab xana analazimisha muoane mapema eti kachoka kukaa kwao, mkishaoana weng wao wanabadilika xana, tabia zao mbaya huwa znarud
 
wengi hawajaoa humu cc le mutuz Ndoa ilimshinda wamechukua mfano wake kuishi na mabebez
 
Last edited by a moderator:
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?

Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.

Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".

Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.

Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.

Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.

Mkuu Hute siredi uliyoileta ni nzuri tatizo ni lugha uliyoitumia inaonesha wazi kuwa una jealous na the way jamaa anavyoishi ! Hasa ukiangalia jinsi jamaa anavyokula mabebez wa kila aina bila ya wasiwasi. ukijiangalia wewe ukithubutu kufanya tu utaonekana umekengeuka, huna maadili na utafeel guilt vibaya muno ! So kilichobaki unaona umalizie hasira zako kwa jamaa ! My take usijilaumu kwa kuyawahi majukumu just jaribu kupenda maisha uliyoyachagua huku ukiangalia positive faida unazozipata kutoka kwenye familia yako !
 
Last edited by a moderator:
Tatizo watu mnaishi kwa mazoea tu na kufuata mikumbo.

Mmekariri usiku ni muda wa kulala,hata kama huna usingizi unajilazimisha tu.

Tokeni kwanza kwenye hayo mabox ndo mtayaona mambo kwa upana na uhuru zaidi.

Just because we're doing something different it doesn't mean that we're doing something wrong.

Man,you've to mind your own business!!
 
wengine wana hela but sura ni za akina remy wa sinza...
 
siku hizi hakuna wanawake wa.kuoa wengi ni matapeli tuu ndiyo mana unakuta tunamademu sita na hatuna mpango wa kuoa hata mmoja
 
kwa kusoma huu UZI: nimegundua TATIZO LINALOKUSUMBUA ZAIDI NI SWAGA ZA HUYU JAMAA.

KUmbe ushajua ye mambo safi sio sasa ulikua unabisha nini kule mwanzo...:yo:
Tatizo sugu hilo kwa watz wengi namna ya ku-link matukio kama huyo uliemdaka
 
Back
Top Bottom