Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

Umeelewa habari husika au unaendeleza chuki za kijinga tu. Ukiwa na chuki hata uwezo wa kuchambua taarifa unapungua na kuangukia katika kuhalalisha chuki zako.

"Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka Hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania"

Long story short waliopewa uraia sio Watanzania ni raia wa Comoro, Msumbiji, Rwanda n.k waliokaa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Itakua ajabu sana Mtanzania kupewa uraia wa Tanzania.
Habari za asubuhi, vipi mkesha uliishaje.
 
Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
Msihangaike, nililiona kwenye Tv sikushangaa kwani najua ∆ katiba iko gereji ∆.
 
Kwenye Ile shughuli nilimuona mama uhamiaji na maafisa wengine wa JMT, nadhan rais wa SMZ alikabidhi tu, mengine yote yatakua yalifanywa na wahusika kama mlivyowataja, nawaza lakin.
 
Hili ni tatizo that's why ni muhim kupunguza madaraka kwa Rais, cz angle hii ya kutoa uraia ilipaswa ishughulikiwe na maafisa pia na wataalam wa masuala ya kimataifa ili kufanya uchunguzi wa kina kuhusu muombaji. Then jopo zima liliridhie kua anastahili kupewa uraia ama la!!
Hapa utakuwa umechanganya mambo mawili, mamlaka ya utoaji uraia na utekelezaji, rais wa JMT ni mamlaka halali ya jambo hili ila utekelezaji ni watendaji and it's a very long and tedious process mpaka kupewa uraia. Hata mtu akihukumiwa kifo death warrant lazima isainiwe na rais lakini anayenyonga sio rais, ila kimamlaka anayenyonga ni rais, Nyerere alinyonga wawili, Mwinyi akanyonga kadhaa, Mkapa, JK na JPM hawakunyonga mtu ila... (inasemekana walipotezea watu), wale jamaa wa Chuo Kikuu, kina Bazigiza, Sikitiko Kapile and the rest waliomletea Mwinyi Fujo, walikuja ku vanishes into thin air mmoja mmoja!).

Madaraka ya rais tunayotaka yapunguzwe ni appointment powers, rais anateua kila mtu, kuanzia wakurugenzi wa Idara serikalini na maofisa wote wa ngazi za juu, kwa jirani zetu kukitokea nafasi, inatangazwa, wenye sifa waombe kazi, hata Jaji Mkuu wa Kenya ameomba kazi, akafanyiwa interview the best akapatikana ndipo rais akapelekewa kumteua na kuthibitishwa na Bunge.

Nafasi zikitangazwa hata ma Diaspora wetu wataomba na kutuletea experience yao.

Hata kuomba uongozi wa umma, ubunge, udiwani lazima kwanza upitie chama cha siasa, huu ni ujinga ambao tusikubali kuendelea nao!.
P
 
Wewe ndo umekurupuka kujibu. Hoja ya mtoa mada ni kwamba kwakuwa uraia uliotolewa husitolewe na rais wa Jamuhuri?. Rais wa Zanzibar anawezaje kutoa uraia wa Jamuhuri?.
Hivi Kwan Raisi wa Zanzibar hawezi kutoa uraia wa Zanzibar? Na kama akiwapa uraia wa Zanzibar si tayari wamekuwa watanzania automatically?
 
Umeelewa habari husika au unaendeleza chuki za kijinga tu. Ukiwa na chuki hata uwezo wa kuchambua taarifa unapungua na kuangukia katika kuhalalisha chuki zako.

"Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka Hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania"

Long story short waliopewa uraia sio Watanzania ni raia wa Comoro, Msumbiji, Rwanda n.k waliokaa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Itakua ajabu sana Mtanzania kupewa uraia wa Tanzania.
Acha upotoshaji. Mweny mamlaka ya kutoa uraia wa Tanzania ni Rais wa JMT sio Rais wa Zanzibar
 
Umeelewa habari husika au unaendeleza chuki za kijinga tu. Ukiwa na chuki hata uwezo wa kuchambua taarifa unapungua na kuangukia katika kuhalalisha chuki zako.

"Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka Hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania"

Long story short waliopewa uraia sio Watanzania ni raia wa Comoro, Msumbiji, Rwanda n.k waliokaa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50. Itakua ajabu sana Mtanzania kupewa uraia wa Tanzania.
Hakuna anayepinga kutoa uraia, kinachopingwa hayo mamlaka amepata wapi. Tanzania ni muungano wa tanganyika na Zanzibar,yeye kachaguliwa na Zanzibar hivyo Hana hayo mamlaka.
 
Yatapita tu haya si ya kudumu, uvumilivu muhimu sana kwa wakati huu...

Kwa sasa wanachota huku wanaenda kujenga visiwani
 
Kwa aina ya uendeshaji wa mambo ulivyo ktk awamu hii ya sita ni dhahiri kwamba, Marais wote Samia na Mwinyi (wote kwa pamoja)ni Marais pia wa Jamhuri ya Muungano.

SSH anajaribu kuipa Zanzibar hadhi sawa na Tanzania bara(Tanganyika).Hatujui ndivyo mkataba wa Muungano ulivyo au anafanya kwa utashi wake tu.
 
Hapa utakuwa umechanganya mambo mawili, mamlaka ya utoaji uraia na utekelezaji, rais wa JMT ni mamlaka halali ya jambo hili ila utekelezaji ni watendaji and it's a very long and tedious process mpaka kupewa uraia. Hata mtu akihukumiwa kifo death warrant lazima isainiwe na rais lakini anayenyonga sio rais, ila kimamlaka anayenyonga ni rais, Nyerere alinyonga wawili, Mwinyi akanyonga kadhaa, Mkapa, JK na JPM hawakunyonga mtu ila... (inasemekana walipotezea watu), wale jamaa wa Chuo Kikuu, kina Bazigiza, Sikitiko Kapile and the rest waliomletea Mwinyi Fujo, walikuja ku vanishes into thin air mmoja mmoja!).

Madaraka ya rais tunayotaka yapunguzwe ni appointment powers, rais anateua kila mtu, kuanzia wakurugenzi wa Idara serikalini na maofisa wote wa ngazi za juu, kwa jirani zetu kukitokea nafasi, inatangazwa, wenye sifa waombe kazi, hata Jaji Mkuu wa Kenya ameomba kazi, akafanyiwa interview the best akapatikana ndipo rais akapelekewa kumteua na kuthibitishwa na Bunge.

Nafasi zikitangazwa hata ma Diaspora wetu wataomba na kutuletea experience yao.

Hata kuomba uongozi wa umma, ubunge, udiwani lazima kwanza upitie chama cha siasa, huu ni ujinga ambao tusikubali kuendelea nao!.
P
Mantiki yang ni... Rais asiwe top wa mwisho kimaamuz! Yapo meng tunayaona ukiachilia mbali hili. Ambapo Rais ndie anaamua na hakuna wa kupinga!! So hapa unaweza rejea kauli ya teacher JKN... Katiba iliyopo akija Rais mwenye mamb flan ataabudiwa kama MUNGU!! Hoja yang ni madaraka kwa Rais yamekua too much!!
 
Kwa iyo waomba uraia wote wanakbidhiwa hati na rais wa JMT isee katiba mpya bora mpaka miaka kumi
 
Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
1. Tuna nchi ya Jamhuri wa muungano wa Tanzania

2. Ipo serikali ya mapinduzi ya zanzibar

3. Tuna uraia wa Jamhuri wa muungano waTanzania tu

4. Walio kabidhiwa hati za uraia kwenye shughuli hiyo ni wageni wasio hamishika, ili watambulike rasmi kama raia wa Tanzania.

5. Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar amemuakilisha Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania kwenye hiyo shughuli

Kama unabisha weka leta facts tofauti na hizi, kama huna tulia!




Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
 
Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
Kwani na wao si watanzania mkuu
 
Huenda Mwinyi alipewa Mamlaka na Dada yake,SHH ya kufanya hivyo kwa niaba yake.
 
Back
Top Bottom