Inakuwaje Rais wa Zanzibar kumuapisha kadhi? Kwani serikali inasimamia ibada?

Hela ya Tanganyika tamu. Sasa hivi mgao wao ni asilimia 9.
 
Kadhi ndo nani pengine kwa kiswahili rahisi kwanza!?
Swali zuri. Mimi mwenyewe nasubiri jibu. Nimeshawahi kusikia tu “mahakama ya Kadhi”, ambapo masuala yanaamumuliwa kwa kutumia taratibu na sheria za kiislam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…