Inakuwaje Rais wa Zanzibar kumuapisha kadhi? Kwani serikali inasimamia ibada?

Inakuwaje Rais wa Zanzibar kumuapisha kadhi? Kwani serikali inasimamia ibada?

Zanzibar ni sehemu ya Tanzania yenye utawala wake wa ndani, asilimia 98 ya Wazanzibari ni Waislamu hivyo wanatumia sharia law, Kadhi Mkuu analipwa na serikali. Hata wakati wa ukoloni mpaka tunapata uhuru, makadhi walikuwepo na wanalipwa na serikali, hata mimi nimeshauri turuhusu mahakama za kadhi huku bara, ila tusiwalipe ma kadhi.

- Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.

- BAKWATA Ina matatizo ya Uendeshaji. Je, itaziweza Mahakama za Kadhi?!

P
Mkuu umesma, ila hiyo ni miongoni mwa sheria zilizotungwa. Zanziibar haitumii sheria law perse.
 
Kwani serikali inateua bakwata!?
Munge muuliza nyerere.
Alitafuta njia ya kuwadhibiti waisilamu.
Ndio ikaundwa Bakwata na viongozi wake wanachaguliwa na kukubalika na serikali.

Huo ni haya kwenye dini nyingine.
Hakuna Christian community ambayo ipo ndani ya serikali na wenyewe hawa kupiga kelele sababu wanajuwa hivi ndivo sahihi kuwadhibiti waisilamu
 
Back
Top Bottom