Inakuwaje Rais wa Zanzibar kumuapisha kadhi? Kwani serikali inasimamia ibada?

Inakuwaje Rais wa Zanzibar kumuapisha kadhi? Kwani serikali inasimamia ibada?

Kwani kadhi jukumu lake nini kama si kuhukumu kwa mujibu wa sheria za kiisilamu alafu ajenda ya shoga unaileta hapa inahusikaje
Wewe hebu tuliza bichwa lako nimekwambia kadhi anafanya kazi chizi ya SMZ..sasa hapo kuna sheria ipi ya kiislamu...nimekusisitiza hebu fuatilia Papaa kafuata andiko lipi kukubali ushoga?
 
Wewe hebu tuliza bichwa lako nimekwambia kadhi anafanya kazi chizi ya SMZ..sasa hapo kuna sheria ipi ya kiislamu...nimekusisitiza hebu fuatilia Papaa kafuata andiko lipi kukubali ushoga?
Kadhi atahukumu watu wa dini zote? Hata kama atakuwa chini ya serikali ya smz
 
Mahakama ya kadhi kazi yake zaidi inahusika na kusuluhusha masuala ya ndoa za kiislam na ndio mana huku kwetu tumeibandika jina la Mahakama ya Mapenzi , sio kwamba inahukumu mwizi akiiba Hapana hizi kesi zinaenda Mahakama za Kawaida .
 
SMZ inamtambua kadhi na hukumu zake zinatambulika na kusimamia utekelezaji wake na pia kadhi analipwa na serikali.
Nb:Mahakama ya kadhi inashughulikia migogoro ya ndoa,talaka na mirathi kwa ndoa zilizofungwa baina ya Muislamu na Muislamu tu.
Ndoa mseto migogoro yake,talaka zake na mirathi yake inashughulikiwa na mahakama za kawaida.

pia mahakama ya kadhi haishughulikii kesi yoyote ya madai au jinai iwe baina ya Waislamu au wasiokuwa Waislamu.
 
SMZ inamtambua kadhi na hukumu zake zinatambulika na kusimamia utekelezaji wake na pia kadhi analipwa na serikali.
Nb:Mahakama ya kadhi inashughulikia migogoro ya ndoa,talaka na mirathi kwa ndoa zilizofungwa baina ya Muislamu na Muislamu tu.
Ndoa mseto migogoro yake,talaka zake na mirathi yake inashughulikiwa na mahakama za kawaida.

pia mahakama ya kadhi haishughulikii kesi yoyote ya madai au jinai iwe baina ya Waislamu au wasiokuwa Waislamu.
Kama kazi zake ni hizo kwa nn asizifanyie huko msikitini kwa nini serikali ihusishwe?
 
Kwa lugha nyepesi kabisa Kadhi ni hakimu kwa mujibu wa sheria za kiislamu,yeye anajua hukumu stahiki kwa makosa mbali mbali kwa mujibu wa muongozo wa dini ya kiislamu

Watu wanahoji je itakuwaje alipwe na serikali? Kwani mahakimu wengine hawalipwi na serikali?

Litakuja swali sasa yeye si anahukumu waislamu? Kwani hao waislamu sio wananchi wa nchi hii,inamaana wangehukumukiwa na hakimu wa kawaida wasingekuwa waislamu?

Haki ambayo ingetolewa na hakimu wa kawaida na hata kwa kadhi ingetolewa haki hiyo ila kwa mujibu wa kiislamu,kwahiyo ishu ni kutafuta ufumbuzi wa shida za watu period

Kuhusu kwanini anaajiriwa na serikali ili kumpa kadhi nguvu kimamlaka,kwa maana hata mtu akiitwa mahakamani basi anatii sheria kana kwamba ameitwa na hizi mahakama za kawaida

Kikubwa mjue pale kazi haswalishi wala kutoa mawaidha wala hafundishi uislamu kwamba mumtolee macho,yupo pale kufanya kazi za hukumu kama mahakimu wengine period,je kuna mwenye shida na hilo?
 
Maana serikali haipaswi kuajiri watu kwa kigezo cha dini
[/QUO
Kwa lugha nyepesi kabisa Kadhi ni hakimu kwa mujibu wa sheria za kiislamu,yeye anajua hukumu stahiki kwa makosa mbali mbali kwa mujibu wa muongozo wa dini ya kiislamu

Watu wanahoji je itakuwaje alipwe na serikali? Kwani mahakimu wengine hawalipwi na serikali?

Litakuja swali sasa yeye si anahukumu waislamu? Kwani hao waislamu sio wananchi wa nchi hii,inamaana wangehukumukiwa na hakimu wa kawaida wasingekuwa waislamu?

Haki ambayo ingetolewa na hakimu wa kawaida na hata kwa kadhi ingetolewa haki hiyo ila kwa mujibu wa kiislamu,kwahiyo ishu ni kutafuta ufumbuzi wa shida za watu period

Kuhusu kwanini anaajiriwa na serikali ili kumpa kadhi nguvu kimamlaka,kwa maana hata mtu akiitwa mahakamani basi anatii sheria kana kwamba ameitwa na hizi mahakama za kawaida

Kikubwa mjue pale kazi haswalishi wala kutoa mawaidha wala hafundishi uislamu kwamba mumtolee macho,yupo pale kufanya kazi za hukumu kama mahakimu wengine period,je kuna mwenye shida na hilo?
majibu mjarabu
 
Nimeona kwenye taarifa ya habari Rais wa Zanzibar anamuapisha kadhi mkuu wa Zanzibar kwani serikali inasimamia ibada za watu!?
Mkuu ina maana hujui kuwa IIslamic Republic of Zanzibar (IRZ) ni serikali ya kiisalamu kama ilivyo Islamic Republic of Iran (IR Iran)
 
When Religion & Politics/Church unite with state, its not good sign
 
Kwa lugha nyepesi kabisa Kadhi ni hakimu kwa mujibu wa sheria za kiislamu,yeye anajua hukumu stahiki kwa makosa mbali mbali kwa mujibu wa muongozo wa dini ya kiislamu

Watu wanahoji je itakuwaje alipwe na serikali? Kwani mahakimu wengine hawalipwi na serikali?

Litakuja swali sasa yeye si anahukumu waislamu? Kwani hao waislamu sio wananchi wa nchi hii,inamaana wangehukumukiwa na hakimu wa kawaida wasingekuwa waislamu?

Haki ambayo ingetolewa na hakimu wa kawaida na hata kwa kadhi ingetolewa haki hiyo ila kwa mujibu wa kiislamu,kwahiyo ishu ni kutafuta ufumbuzi wa shida za watu period

Kuhusu kwanini anaajiriwa na serikali ili kumpa kadhi nguvu kimamlaka,kwa maana hata mtu akiitwa mahakamani basi anatii sheria kana kwamba ameitwa na hizi mahakama za kawaida

Kikubwa mjue pale kazi haswalishi wala kutoa mawaidha wala hafundishi uislamu kwamba mumtolee macho,yupo pale kufanya kazi za hukumu kama mahakimu wengine period,je kuna mwenye shida na hilo?
Kuna madai wanasema kwa muisilamu kuhukumuwa kesi yake na kadhi ni ibada
 
Kuna madai wanasema kwa muisilamu kuhukumuwa kesi yake na kadhi ni ibada
Ibada ni maneno mazuri au vitendo vizuri vinavyo mpendeza Mwenyezi Mungu,kwahiyo hata hakimu wa kawaida akihukumu kwa kutenda haki stahiki ni ibada pia atalipwa na asipotenda haki kwa makusudi atalipwa kwa ubaya wake,kwahiyo hakuna shida hapo
 
Kama kazi zake ni hizo kwa nn asizifanyie huko msikitini kwa nini serikali ihusishwe?
Hilo swali mwenye uwezo wa kulijibu ni msemaji wa SMZ lakini kwa fikra zangu huenda kule Zanzibar 99% ni Waislamu ndiyo maana ilkuwa ni rahisi kuliingiza kwenye sheria za huko Zanzibar.
 
Ibada ni maneno mazuri au vitendo vizuri vinavyo mpendeza Mwenyezi Mungu,kwahiyo hata hakimu wa kawaida akihukumu kwa kutenda haki stahiki ni ibada pia atalipwa na asipotenda haki kwa makusudi atalipwa kwa ubaya wake,kwahiyo hakuna shida hapo
Hayo umesema wewe ila waisilamu hawako comfortable kabisa kuhukumiwa na hakimu wa kawaida
 
Ninachofahamu mimi ni kwamba Kadhi kwa upande wa Zanzibar ni sehemu ya serikali hivyo kuapishwa na Rais ni sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom