Inakuwaje safari ya Rais inagharamiwa na Wananchi wachache ambao hawataji majina yao? Je, haya sio mazingira ya kulipana fadhila kwa ufisadi?

kwani mtu akisema ukweli kuna tatizo, sasa wewe tuambie alipata nini?
Hakuna huo umuhimu wa kutangaza afya ya mtu mitandaoni.

Wewe kwani unapoharisha huwa unapost hapa JF??
 
Hakuna huo umuhimu wa kutangaza afya ya mtu mitandaoni.

Wewe kwani unapoharisha huwa unapost hapa JF??
Rais ni kiongozi wa kitaifa, ni Lazima wananchi wajue afya yake na haki hiyo ipo kikatiba. - sema tulifichwa mwanzo but now we know..
 
Samia ni mwizi na kibaraka wa wazungu.
Mwizi ni mfalme wenu ambaye mbele ya Watanzania alijitakasa kumbe nyuma ya pazia ni jambazi lisilokuwa linatumia silaha (walijisemea wabunge). Zile pesa za plea bargain DPP aliyedondoshwa na Mfalme wanajua zilipo. Imeonekana hazijukikani zilipo. Tuanzie hapa jambazi ni Nani? Mwache kabisa Rais wetu Samia Suluhu Hassan atuongoze. Mlitutesa Sana na unafiki wenu. Kazwikweni naye.
 
Hebu punguza kelele, leo wasukuma tunasikiliza wizara yetu ya madini, wengine hata madini maeneo yenu ni ardhi tupu.Tunamsikiliza BITEKO kujua maslahi yetu. Sisi ndiyo nchi na nchi ni sisi unaijua CSR weewe?????????
 
Acha upotoshaji sukumagang, alichosema Mazaa ni kwamba Royal Tour imegharimiwa na watu, wa ndani na wa nje, ili hiyo movie itumike kutangaza utalii!
 
Nyankurungu mada gan Hiii, ni Bora ukachimbe madini kwenu ilindi mwime.
 
NAPITA. MAGUMU HAYO
 
Wewe jamaa ni mpuuzi sana sijui ulisoma.wapi na ulisomea nini? Kwa hiyo ulitaka aseme na kuwataja majina?
Mbona hukuwa na wasiwasi yule raisi wenu fedhuli bwana magufuli waliosema uchafuzi/ uchaguzi wa 2020 ulifanyika kwa pesa za watz wenyewe!
Aliwataja? Wakati mwingine unapaswa kuficha ujinga bhana sio unaropoka kama yule chizi mwendazake
 
Mashoga mmekuwa wasumbufu sana. Hivi mabasha wamepungua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…