Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Wewe kinakushangaza nini upo Tanzania na kuna baadhi ya vitu vinalipiwa kwa dollar mfano majumba ya kupanga haya mahekalu hawalipishi shilingi kitu ambacho huwezi kutana nacho Ulaya ,Asia nk ndio maajabu yanayopatikana TzNa ukiwa China mtu mgeni (Foreigners) hata raia si ruhusa kuchezesha kamari ni serikali tu.
huku Kwetu lazima kuna viongozi wana neemeka. Hizi kamali zipo sana vijijini watu walikolala.
shamba la bibi
Ndio maana Bora Kama vipi, hizo mashine zizuiwe tu, lakini justification ya kukamata zile sarafu kwangu bado inazua maswali tuMkuu hizo sarafu ndio kama commodity zao, ni kama ww uwe na duka na bidhaa za kuuza. Kwao bidhaa ni hizo sarafu. Na sehemu kama morogoro wanakua wameweka vituo vingi sana hadi vijijin na huwa hawaajiri mtu mweusi ashike hela zao so utakuta sarafu zote kwenye hivyo vituo zinakusanywa sehemu moja na zitasambazwa tena baadae zikihitajika.
Naamini wakiwakagua hata mikoa mingine kama dar na mwanza watakuza hata zaidi ya mil 400 za sarafu
Mkuu jaribu kusaidia katika hilo la kulichanganya mashine lile.Nipo kijijini lakini ukiona jinsi watu wanavyoliwa pesa unaweza kushangaa. Naomba tuwasiliane ikiwezekana tumfilisi huyu mchina maana hujichumia pesa bila hata kutia jashoInatia huruma sana. Yaan waTZ ndo tumefanywa shamba. Siku nikipata hilo limashine lazima nilifanyie reverse engineering aisee. Washatuona wadhaifu sana
Sarafu 200 zenye thamani ya milioni 200, kwa maana idadi ya sarafu ilikuwa milioni moja. Wamepata wapi chenji zote hizoTatizo siouhakali,kwa Nini wazifungie ndani ...Sarafu M200!
Hata kama sio mchezesha kamari,Ukicheza kamari unaruhusiwa kuweka ndani Sarafu zote hizo!Nielimishe!?
haahaaaaaaMkuu jaribu kusaidia katika hilo la kulichanganya mashine lile.Nipo kijijini lakin ukiona jinsi watu wanavyoliwa pesa unaweza kushangaa.Naomba tuwasiliane ikiwezekana tumfilisi huyu mchina maana hujichumia pesa bila hata kutia jasho
Sent using Jamii Forums mobile app
What if waliokuwa na mpango wa kupeleka bank kubadirisha baada ya kufikia kiwango flani ambacho kampuni kimekipanga? Naongea hivi huku nikiangalia uhuru wa mfanyabiashara na mahusiano ya ulipaji kodi.Tatizo siouhakali,kwa Nini wazifungie ndani ...Sarafu M200!
Kwahiyo kosa lao Ni Nini?Sasa unauliza kwa nn mamlaka husika zisigundue na wakati tayari wameshakamatwa[emoji854]
Walikuwa wachezesha kamali zinazotumia coin za 200 na 500sarafu 200 zenye thamani ya milioni 200,kwa maana idadi ya sarafu ilikuwa milioni moja.wamepata wapi chenji zote hizo
Wachina hawana kosa .Kwahiyo kosa lao Ni Nini?
Well said.Ninavyoelewa Mimi hayo makokoro yanautumia coins 200 na 500. Na mashine moja inaweza kuweka mpaka coin 1000.
Sasa kila siku lazima wapitie mashine zote kuongeza pesa ama kuchukua pesa.
Sasa lazima wawe na float (working capital).
Ukiangalia 200million gawanya kwa Mia mbili unapata coin 1,000,000 za Tsh 200 ama 500,000 za Tsh500.
Kama Wana mashine 200 maana yake kila mashine imekuwa allocated 5000 coins za Tsh 200 au 2500 za Tsh 500.
Hivyo kuwa na hizo coin Wala sioni Kama ni shida.
Mbona Kuna watu ulienda nyumbani kwao watakuwa na zaidi ya billion 3 ndani kwao.
Tujipange na mambo ya maana.
Covid inaua, stay safe stay home