white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Wewe una endeshwa na hisia tu na sio uhalisia!!!! Mtu anapoenda kukata leseni pale bodi ya michezo ya kubahatisha lazima atabainisha ni mashine ngapi atakazo miliki, ili wajue, na kuweza kumtoza tozo la leseni, vile vile kule TRA, kwenye kukadiria kodi lazima ijulikane ana mashine ngapi,.Mkuu tatizo hapo sio kukusanya izo coins. Tatizo ni kuwa wanakwepa kodi hawa jamaa. Unakuta mtu amechukua kibali cha kuchezesha kmali cha mashine 100 tu. Kumbe amesambaza mashine 200. Na ukiwa na mashine nyingi ni lazima uwe na coins nying za kusambaza.
Kitu kingine kunakiwango maalumu cha pesa mtu anatakiwa awe nacho kama cash. Kikizidi ni makosa.
Sasa uyo mchina kosa linaweza kuwa ni kuwa na kiwango kikubwa cha pesa in cash.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama akizidisha ni uzembe wa wafuatiliaji. Kuhusu kiwango cha pesa kuwanacho mkononi kuwa kosa, hizo pesa ni mtaji wa hizo mashine, sasa kama mashine moja tu mtaji wake ni laki 2,sasa mkoa mzima labda wana mashine 500,unategemea nini?
Na hapo hapo kuna siku ya makusanyo ya pesa walizopata kutoka kwenye mashine hizo, na kulingana na nature ya biashara hiyo ni lazima tu wawe na coins muda wowote kwani wakati wowote mashine inaliwa pesa wanapigiwa simu waende wakaongeze mtaji, HAPO, cha msingi ni serikali kupiga marufuku hizo mashine kutumia coins za nchi, badala yake watumie TOKEN., ndio suruhisho lake!!