Inakuwaje sarafu za milioni 200 zinafichwa mamlaka zisishtuke mapema?

Inakuwaje sarafu za milioni 200 zinafichwa mamlaka zisishtuke mapema?

Hayo mamichezo yafutwe yanaharibu sana watoto, na hii bodi ya michezo ya kubahatisha imelala inatoa tu leseni kiholela.

Jamani zile mashine ni programmed, programmer anaweza weka conditions katika watu kumi wanaocheza washinde wanne kwa interval fulani sasa hiyo utaita ni bahati nasibu.

Bodi kabla haijatoa leseni ya hayo madude ilitakiwa ichukue hata madude 10 wakae nayo wiki nzima waone ila hata isingesaidia sana maana mwiaho wa siku yanabadilishwa setting kirahisi, wito wangu hayo mamashine yafutwe kabisa hawa wachina wanatuchuna ngozi bila ganzi.

Wanaingiza pesa nyingi kwa kazi zisizoeleweka.

Hayo madude wameyasambaza hadi maeneo ya vijijini kukamua maskini, ni kama kuku wao wa mayai wamewasambaza mwisho wa siku wanaend kuokota mayai.

Bodi ya michezo ya kubahatisha haya madude tuondoleeni tafadhali watoto wanaiba pesa wanapeleka huko.

Mwisho.
Ndio maana ya neno BAHATI NASIBU. NASIBU ni neno linalomaanisha kitu cha kinachofanania na ukweli ila si cha kweli.

Mfano unaposema bahati nasibu unamaanisha kuwa ni bahati ambayo si ya ukweli kiuhalisia......



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm sio mtaalam wa maswala ya sheria, ila ningeomba kujua kama kuna sheria inayombana mtu kuwa na kiwango fulani cha pesa ndani ya nyumba zaidi ya hapo anapaswa kupeleka bank

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ya akiba haitakiwi kuwekwa ndani ya nyumba unatakiwa uiweke aidha kwenye line ya simu au bank kabisa. Kwa mfano umiwa na utajiri wa mamilioni, ukiwek hizo hela ndani kule benki kuu wataona kuna ufinyu wa pesa kwenye mzunguko so watatengeneza zaidi.....

Siku wewe ukitoa zao tayari unasababisha mfumuko wa Bei sababu supply ya pesa kwenye uchumi inaongezeka bila sababu za kifedha.....

Therefore it is wise kusema unatakiwa kuwa na pesa ya matumizi mkononi kulingana na uhitaji wako ila si ruhusa kukaa na akiba ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mamichezo yafutwe yanaharibu sana watoto, na hii bodi ya michezo ya kubahatisha imelala inatoa tu leseni kiholela.

Jamani zile mashine ni programmed, programmer anaweza weka conditions katika watu kumi wanaocheza washinde wanne kwa interval fulani sasa hiyo utaita ni bahati nasibu.

Bodi kabla haijatoa leseni ya hayo madude ilitakiwa ichukue hata madude 10 wakae nayo wiki nzima waone ila hata isingesaidia sana maana mwiaho wa siku yanabadilishwa setting kirahisi, wito wangu hayo mamashine yafutwe kabisa hawa wachina wanatuchuna ngozi bila ganzi.

Wanaingiza pesa nyingi kwa kazi zisizoeleweka.

Hayo madude wameyasambaza hadi maeneo ya vijijini kukamua maskini, ni kama kuku wao wa mayai wamewasambaza mwisho wa siku wanaend kuokota mayai.

Bodi ya michezo ya kubahatisha haya madude tuondoleeni tafadhali watoto wanaiba pesa wanapeleka huko.

Mwisho.
Sijawahi kuyakubali Yale madude .

Huwa nayaona nayapita mbali .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana ya neno BAHATI NASIBU. NASIBU ni neno linalomaanisha kitu cha kinachofanania na ukweli ila si cha kweli.

Mfano unaposema bahati nasibu unamaanisha kuwa ni bahati ambayo si ya ukweli kiuhalisia......



Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujanielewa, tuende kwenye mifano hai labda.

Turushe juu coin ya 100 kuna upande wa kichwa na mwenge tuseme.

Ikitua chini probability ya kichwa au mwenge kuonekana juu pindi itakapotua ni 50/50.

Lakini tukiingia maabara hiyo coin ya 100 tunaweza tukatengeneza mazingira ya kila inaporushwa juu kichwa kitawale na hilo linawezekana, sasa ukiichukua hii 100 uwapelekee watu washindane hapo hamna bahati nasibu tena itakua ni bahati mavuno.
 
Nadhani hujanielewa, tuende kwenye mifano hai labda.

Turushe juu coin ya 100 kuna upande wa kichwa na mwenge tuseme.

Ikitua chini probability ya kichwa au mwenge kuonekana juu pindi itakapotua ni 50/50.

Lakini tukiingia maabara hiyo coin ya 100 tunaweza tukatengeneza mazingira ya kila inaporushwa juu kichwa kitawale na hilo linawezekana, sasa ukiichukua hii 100 uwapelekee watu washindane hapo hamna bahati nasibu tena itakua ni bahati mavuno.
Wewe ndio haujanielewa......

Unajua maana ya neno NASIBU?!

Halafu ukijua maana yake utaweza kuelewa maana ya neno BAHATI NASIBU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hujanielewa, tuende kwenye mifano hai labda.

Turushe juu coin ya 100 kuna upande wa kichwa na mwenge tuseme.

Ikitua chini probability ya kichwa au mwenge kuonekana juu pindi itakapotua ni 50/50.

Lakini tukiingia maabara hiyo coin ya 100 tunaweza tukatengeneza mazingira ya kila inaporushwa juu kichwa kitawale na hilo linawezekana, sasa ukiichukua hii 100 uwapelekee watu washindane hapo hamna bahati nasibu tena itakua ni bahati mavuno.
Dah.... Ndugu... Kwani nimeandika kichina hapo?!

Unachokiongea ndicho nilichokuelekeza...... Umetoa maelezo sahihi ila neno umetumia sio sahihi.

Neno NASIBU maana yake ni kitu ambacho hakipo. Kwa mfano unavyoita kifaa cha kukalia kiti, je tukitazama lugha nyingine wanaita hivyo hivyo kiti?! Sasa hii inamaanisha kuwa neno Kiti ni neno NASIBU na si neno halisi la hicho kifaa.

Sasa kwa mfano unaposema neno BAHATI NASIBU. Unakuwa una maanisha ni bahati isiyo halisi yaani ni bahati ya kutengeneza ikiwa na maana kuwa anaekwambia ubahatishe ndie anajua namna ya wewe unapataje ushidi na si kwamba utapata ushidi halali.

Sasa unaposema kuwa unarusha coin ambayo ina sura ya kichwa na sura ya mwenge, it means hiyo coin haiwezi kukupa bahati nasibu bali itakuwa ni bahati halisi. Ila unapoweka coin yenye sura moja kila upande then kupata ushindi ukisema mwenge inakuwa ni BAHATI NASIBU na hautashinda unless useme kichwa......

So i hope umenielewa hadi hapo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishasema, na ninarudia kusema.. Mchina atakuja kuleta balaa kubwa Africa, tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom