Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama sehemu ya protocol Ikulu.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!
NB: Video imefutwa kwenye channel rasmi za kanisa.
Alipaswa kuwa nani.?? Je ipo kisheria kwamba lazima awe fulani.!?Mbona wanaikosesha hadhi ikulu hadi kuongozwa na wasanii wa kitaa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ikulu ni makazi ya mtu aliyepewa dhamana ya kuwaongoza jamii,acha kuitukuza ikulu kana kwamba ni nyumba ya munguMbona wanaikosesha hadhi ikulu hadi kuongozwa na wasanii wa kitaa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ukianza kusinzia mchana chuma sharti kisimameKweli Ikulu yetu imeshuka hadhi sana yaani huyu kuwadi ndiye aongoze ujumbe wa Ikulu
Chief of Protocol from Tanzania State House, hivi umewahi kuelewa? Ikiongozwa na ... Means yeye ndio Chief in Charge of Protocol ngoja nipite hiviAlipaswa kuwa nani.?? Je ipo kisheria kwamba lazima awe fulani.!?
Ikulu sio nyumba ya Bibi yako rejea Hotuba za MwalimuIkulu ni makazi ya mtu aliyepewa dhamana ya kuwaongoza jamii,acha kuitukuza ikulu kana kwamba ni nyumba ya mungu
Huwajui viongozi wa dini walivyo, ukicheka na rais tu wanakuona ni IkuluIlikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!
Na hapo alikuwa anaangalia porn video.Ukianza kusinzia mchana chuma sharti kisimame
Makosa makubwa kuwaendekeza hawa walaghai. Hakuna Steven Nyerere. Huyu ni steven Mengele mwizi wa jina la Nyerere. Kina Madaraka na Makongoro mshitakini huyu mahakamani. Sasa anajidai eti amekuza jina la Nyerere. Mshenzi sana.Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama sehemu ya protocol Ikulu.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!
Steve ni just an influence artist anaweza kukodiwa kwa dhumuni maalumMbona wanaikosesha hadhi ikulu hadi kuongozwa na wasanii wa kitaa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]