Inakuwaje Steve Nyerere anaongoza Protocol ya Ikulu?

Inakuwaje Steve Nyerere anaongoza Protocol ya Ikulu?

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama mtu anayeongoza protocol Ikulu pale msibani.

Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!

 
Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama sehemu ya protocol Ikulu.

Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!

NB: Video imefutwa kwenye channel rasmi za kanisa.

Mbona wanaikosesha hadhi ikulu hadi kuongozwa na wasanii wa kitaa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Kweli Ikulu yetu imeshuka hadhi sana yaani huyu kuwadi ndiye aongoze ujumbe wa Ikulu
 

Attachments

  • IMG-20240207-WA0000.jpg
    IMG-20240207-WA0000.jpg
    63.2 KB · Views: 8
Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama sehemu ya protocol Ikulu.

Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!

Makosa makubwa kuwaendekeza hawa walaghai. Hakuna Steven Nyerere. Huyu ni steven Mengele mwizi wa jina la Nyerere. Kina Madaraka na Makongoro mshitakini huyu mahakamani. Sasa anajidai eti amekuza jina la Nyerere. Mshenzi sana.
Tuliona jinsi alitumika kunadi kupewa bandari zetu zote kumilikiwa na dubai kama mali yao huku anajiita steve nyerere. Hakika tulichukia sana.
 
Back
Top Bottom