gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Usiamini sana wazeenyerere alituambia ni patakatifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiamini sana wazeenyerere alituambia ni patakatifu
Sijaelewa ndio maana nikauliza swali, kuna mtu maalumu mwenye hicho cheo,? Je ipo kisheria kwamba lazima awe fulani?Chief of Protocol from Tanzania State House, hivi umewahi kuelewa? Ikiongozwa na ... Means yeye ndio Chief in Charge of Protocol ngoja nipite hivi
Alipaswa kuwa nani.?? Je ipo kisheria kwamba lazima awe fulani.!?
Ikulu ni makazi ya mtu aliyepewa dhamana ya kuwaongoza jamii,acha kuitukuza ikulu kana kwamba ni nyumba ya mungu
Steve ni just an influence artist anaweza kukodiwa kwa dhumuni maalum
Tokea tarahe 21 March, 2021 hadi leo hii Ikulu haijawahi kuwa na Heshima tena na nashangaa mmechelewa kujua hili.
Kwani uongo?Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama mtu anayeongoza protocol Ikulu pale msibani.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!
Ikulu siku hizi ni ya kila chawa, Abdul, Steve, Mpoto, Shilole, nk nkOktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama mtu anayeongoza protocol Ikulu pale msibani.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!
Ikulu haiwezi kuwa sehemu nyeti mkuu, sehemu nyeti hata hazijulikani,vita vikianza rais' uhama ikulu na kwenda sehemu nyetiUelewa wako unakuongaza hivyo ila unaota
Ikulu ni ofisi nyeti sana na wewe unajua ila uchawa unawafumba macho.
Kweli kabisa mrangi. Wahuni wamegeuza ikulu kijiwe.Ikulu imekuwa kama kijiwe fulani
Ova
Imekuwa ghettoIkulu siku hizi ni ya kila chawa, Abdul, Steve, Mpoto, Shilole, nk nk
Mpaka Lugumi kufunguwa utajiri alioupata kwa hela za mlipa kodi!.
Wahuni, chawa, wasanii, wasagaji...
Hovyo hovyo hovyo hovyo.....
Huyo mtu aliyepewa dhamana huwa taasisi.Ikulu ni makazi ya mtu aliyepewa dhamana ya kuwaongoza jamii,acha kuitukuza ikulu kana kwamba ni nyumba ya mungu
Uongo mtakatifu ...mbona Kikwete alienda?Kawaida sana
Rostam Aziz na Bashe waliiwakilisha CCM kwenye mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani mh Lowassa 🐼
Una uhakika hakuna sheria iliyovunjwa?!Havunji sheria za nchi, mpumzisheni kidogo.
Siwametoa Magoti wameweka TivuOktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama mtu anayeongoza protocol Ikulu pale msibani.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!