Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we jamaa una ubongo?Kawaida sana
Rostam Aziz na Bashe waliiwakilisha CCM kwenye mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani mh Lowassa 🐼
Tokea tarahe 21 March, 2021 hadi leo hii Ikulu haijawahi kuwa na Heshima tena na nashangaa mmechelewa kujua hili.Mbona wanaikosesha hadhi ikulu hadi kuongozwa na wasanii wa kitaa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
It Must be a Joke!Oktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama sehemu ya protocol Ikulu.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!
Hakuna heshima kabisa muleTokea tarahe 21 March, 2021 hadi leo hii Ikulu haijawahi kuwa na Heshima tena na nashangaa mmechelewa kujua hili.
Na anayemchomekachomeka huyo tunamjuwa.....Tokea tarahe 21 March, 2021 hadi leo hii Ikulu haijawahi kuwa na Heshima tena na nashangaa mmechelewa kujua hili.
Mahakama itawadai akina madaraka na makongoro, hati miliki ya jina la Nyerere. Wakiwa hawana hiyo hati miliki biashara itaishia hapo.Makosa makubwa kuwaendekeza hawa walaghai. Hakuna Steven Nyerere. Huyu ni steven Mengele mwizi wa jina la Nyerere. Kina Madaraka na Makongoro mshitakini huyu mahakamani. Sasa anajidai eti amekuza jina la Nyerere. Mshenzi sana.
Tuliona jinsi alitumika kunadi kupewa bandari zetu zote kumilikiwa na dubai kama mali yao huku anajiita steve nyerere. Hakika tulichukia sana.
nyerere alituambia ni patakatifuIkulu ni makazi ya mtu aliyepewa dhamana ya kuwaongoza jamii,acha kuitukuza ikulu kana kwamba ni nyumba ya mungu
Cha ajabu Kitu gani? 🐼Hivi we jamaa una ubongo?
Kama kuna Member ambaye nakubali kuwa na IQ Kubwa hapa JamiiForums basi ni Wewe Mkuu. Hujakosea huyo Jamaa Steve Nyerere ndiyo alikuwa Pimp (Kuwadi) wa Mzee wenu (Yanga SC Daima) aliyekutwa na tatizo la Tezi Dume kwa tabia yake ya kwenda Safari za Yombo Buza kwa Mpalange na Wanawake aliokuwa akiwapenda (akiwemo yule wa Mwanza aliyekuja pia Kutunga hadi na Wimbo wake) ila kwa bahati mbaya sana huyu Jamaa pamoja na Kukuwadia Wakubwa wengi ili apate Fedha na ambazo kweli alizipata na kuwa na Maendeleo ya hapa na pale ila nae hiyo Dhambi yake ikamlaani ambapo nae kwa sasa kila Siku za Jumanne na Ijumaa lazima aende katika Dirisha la Hospitali yoyote Dar es Salaa kuchukua Dawa zake za Dally Kimoko Virus au Matumaini Virus.Na anayemchomekachomeka huyo tunamjuwa.....
Sema jamaa kawakuwadia sana matop 😄
Ova
Namjuwa vzr haka kajamaaKama kuna Member ambaye nakubali kuwa na IQ Kubwa hapa JamiiForums basi ni Wewe Mkuu. Hujakosea huyo Jamaa Steve Nyerere ndiyo alikuwa Pimp (Kuwadi) wa Mzee wenu (Yanga SC Daima) aliyekutwa na tatizo la Tezi Dume kwa tabia yake ya kwenda Safari za Yombo Buza kwa Mpalange na Wanawake aliokuwa akiwapenda (akiwemo yule wa Mwanza aliyekuja pia Kutunga hadi na Wimbo wake) ila kwa bahati mbaya sana huyu Jamaa pamoja na Kukuwadia Wakubwa wengi ili apate Fedha na ambazo kweli alizipata na kuwa na Maendeleo ya hapa na pale ila nae hiyo Dhambi yake ikamlaani ambapo nae kwa sasa kila Siku za Jumanne na Ijumaa lazima aende katika Dirisha la Hospitali yoyote Dar es Salaa kuchukua Dawa zake za Dally Kimoko Virus au Matumaini Virus.
Ndio kalimkuwadia Nature Kwa Sinta 🤣Namjuwa vzr haka kajamaa
Na kwa tabia zake wala hastahili hyo heshima...wanayompa
Kabla hajaanza kuwakuwadia matop miaka ile alikuwa anamkuwadia jamaa yangu mmja beny branco(RIP) alikuwaga anauzaga magari lumumba kajamaa alijuwa anamkuwadia sana madem
Sifa yake kubwa na jina alilipata
Baada ya kuwakuwadia matop sasa anawapigia mapande 😄
SIKU ZOTE NAWAAMBIA WATOTO HUMU UKISHAWAJUWA WATU WALA HUSUMBUKI
Ova
Point of correction ni Steven Mengele.. Mengine aulizwe bawasiriOktoba 28, 2024 katika msiba wa msaidizi wa Mwamposa, Steven Mengele maarufu kama Steve Nyerere alitambulishwa kama mtu anayeongoza protocol Ikulu pale msibani.
Ilikuwa bahati mbaya au ni uhalisia? Bado nawaza!