Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

Southampton 3-3 Arsenal [emoji16]

If you know [emoji16]
 
West ham united 2-2 Arsenal [emoji16]

If you know [emoji16]
 
Manchester city 4-0 Arsenal [emoji16]

If you know [emoji16]
 
Arsenal 0 - 3Brighton and holves [emoji16]

If you know [emoji16]
 
Nottingham forest 1-0 arsenal [emoji16]

If you know [emoji16]
 
Timu limeongoza ligi kwa miezi kumi linaachia ubingwa [emoji16]
 
Eti gabriel jesus ndio forward la kutegemewa arsenal [emoji16]
 
Ati saka ni winga teleza [emoji16]

Msimu bora kabisa wa saka amefunga magolo kumi sawa na foden aliyekuwa anaanzia bench
 
Partey ule mbichwa wake wa kizanzibar itakuwa ana iq 0

Chezaji lipo katikati ya uwanja km sanamu
 
Eti nyenye ordergard kapten wa kunyanyua ndoo

Pale Arsenal hakuna mchezaji mwenye personality ya kunyanyua ubingwa wa epl
 
Kijana mimi ni mlevi wa Epl years and years
Arsenal ni uchafu
Mimi nilidhani ungemaliza andiko lako kwa kutaka majibu ya swali lako. Lkn cha kushangaa umehitimisha mwenyewe. Nashauri JF iangalie uwezekano wa kukagua CV wakati members wanajisajili ili kuepusha uandishi duni kama huu
 
Saliba na gabriel maghala ni magunia pale nyuma ati ndio vitasa vya Arsenal [emoji16]
 
Kale ka zichenko eti ndio role model kanawakusanya wachezaji wa Arsenal kuwahamasisha nyenye [emoji16]

Kina misaliba na partey mikubwa jinga nayo imekaa kusikiliza[emoji16]
 
Ramsadale aliishusha timu daraja ati ndio golikipa la kutegemewa [emoji16]
 
Back
Top Bottom