Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

Sehemu yyt ukiona kila mtu anaweza mfunga mwingine jua haya yapo.
1.hela imekua nyingi sn epl kuliko ligi yyt duniani,kila team inampunga wakutosha.
2.mishahara mikubwa hivyo nyota wengi wanakimbilia huko,competitiveleague
3.makocha bora wapo,ukiangalia kwa umakini arsenal wamekopy man citywanavyocheza na mfumo umekaa ndio mana wakikutana magoli yanakua machache.
4.liver +city wamefikia peak hivyo wengine wanaibuka kitu ambacho nikawaida kwa epl hakuna monopoly km hapa tz or Spain
 
Sehemu yyt ukiona kila mtu anaweza mfunga mwingine jua haya yapo.
1.hela imekua nyingi sn epl kuliko ligi yyt duniani,kila team inampunga wakutosha.
2.mishahara mikubwa hivyo nyota wengi wanakimbilia huko,competitiveleague
3.makocha bora wapo,ukiangalia kwa umakini arsenal wamekopy man citywanavyocheza na mfumo umekaa ndio mana wakikutana magoli yanakua machache.
4.liver +city wamefikia peak hivyo wengine wanaibuka kitu ambacho nikawaida kwa epl hakuna monopoly km hapa tz or Spain
We jamaa kichwa chako kimejaa funza, ovyo kabisa.. Kwahiyo unakaa kabisa unawaza Arteta ka copy kwa Pep.

Haya ka copy, mbona huyo Pep aliekopiwa hayupo juu?

Mkashtaki basi, si mnaona sisi tunapata raha ko copy. Nendeni na nyie mkakopi. Si yule pale Ten Hag alifanya kazi na Pep mbona kashindwa kum copy, kazi kukaa nyuma akitegemea ushindi wa counter.

Arsenal wakichukua ubingwa kuna watu duniani watajinyonga.
 
We jamaa kichwa chako kimejaa funza, ovyo kabisa.. Kwahiyo unakaa kabisa unawaza Arteta ka copy kwa Pep.

Haya ka copy, mbona huyo Pep aliekopiwa hayupo juu?

Mkashtaki basi, si mnaona sisi tunapata raha ko copy. Nendeni na nyie mkakopi. Si yule pale Ten Hag alifanya kazi na Pep mbona kashindwa kum copy, kazi kukaa nyuma akitegemea ushindi wa counter.

Arsenal wakichukua ubingwa kuna watu duniani watajinyonga.
Punguza hasira kwa kufungwa na Everton itakua mpk mkeka ulichanika
.Punguza povu ni mpira tu huo
 
Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero🤣
 
Ingekuwa aibu ya karne timu ya kipumbuvu km arsenal kushinda taji la Epl
 
Ni mara miamoja manchester city uchukue ubingwa mara tano mfululizo kuliko hii arsenal ingechukua ubingwa

Vichezaji eti kina vi saka [emoji16]
 
Kile kigabrel jesus kinachokimbia km dada wa kazi uwanjani eti ndio mshambuliaji wa kutegemewa pale Arsenal [emoji16]
 
Nketiah kile kijamaa kufupi kimefuga nywele km awilo logomba eti ndio backup ya shambuliaji jesus [emoji16]
 
Eti zichenko kale kanarukaruka uwanjani eti ndio muhamasishaji wa hizi takataka za arsenal [emoji16]
 
Yale magunia mawili saliba na gabriel maghala eti ndio vitasa vya kubeba taji la Epl [emoji16]

Taji la nyiok? Pumbavu
 
Kuna luhuni linaitwa white huwa linakaba kwa macho ukilipress linakuachia njia upite eti ndio likitegemewa kupambana taji la Epl [emoji16]
 
Kuna iki kipumbuvu toka brazil matanel kinakimbiza mpira Hadi kwenye kibendera anautoa nje anarud tena kukaba [emoji16]
 
Kuna jamaa linaitwa partey nafikiri hli ni liafrika lenye IQ ndogo zaidi ya mpira kucheza Epl[emoji16]

Sehemu ya kutoa pass linashut sehem ya kushut linatoa pas[emoji16]
 
Back
Top Bottom