Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

Itakuwa ni dharau sana arse8 akibeba ubingwa bora ata manure abebe ..ila dah manyumbu nayo yakikeba yatasumbua sana bora ata Nu Casto abebe tu😭
 
Kumetokea nini Ligi kuu ya uingereza?

Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu.

Fikiria kikosi kibovu cha arsenal inakuwa juu ya msimamo! Msimu huu nimeangalia me his tano za arsenal nikapata majibu kuwa Arsenal hawezi kufuzu hata Uefa.

Mdau moja ameniambia Arsenal inaongoza ligi kwasababu ya break ya Kombe la Dunia lkn bado sijaridhika.

Arsenal ina wachezaji watatu tu wazuri saka, martinel na potter wengine wote vimeo.

Timu zitakazofuzu uefa msimu huu;
~ Manchester united
~ Manchester city
~ Newcastle united
~ Liverpool

Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero.

Poor arsenal!
Uhali gani?
 
Umeongea ukweli mkuu asernal nikitimu kidogo sana nailaumu timu yangu United kwanini inaleta utani mpaka haipo pale juu
 
Kumetokea nini Ligi kuu ya uingereza?

Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu.

Fikiria kikosi kibovu cha arsenal inakuwa juu ya msimamo! Msimu huu nimeangalia me his tano za arsenal nikapata majibu kuwa Arsenal hawezi kufuzu hata Uefa.

Mdau moja ameniambia Arsenal inaongoza ligi kwasababu ya break ya Kombe la Dunia lkn bado sijaridhika.

Arsenal ina wachezaji watatu tu wazuri saka, martinel na potter wengine wote vimeo.

Timu zitakazofuzu uefa msimu huu;
~ Manchester united
~ Manchester city
~ Newcastle united
~ Liverpool

Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero.

Poor arsenal!
Hebu shika masikio yako mawili kisha yavute huku ukijicheka. Hivi timu inaongoza EPL halafu ni mbovu? Unatumia kilevi gani wewe?
 
Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu
Ikiwa pia maishani unaishi kwa kukariri namna hii unafeli vibaya sana.

Fuatilia soka
 
Arsenal anabahati sana msimu huu kuongoza ligi ila timu hana
Umeongea ukweli mkuu asernal nikitimu kidogo sana nailaumu timu yangu United kwanini inaleta utani mpaka haipo pale juu
 
Sijakariri ila arsenal ina timu ya wavulana itakuwa aibu akichukua ubingwa
Ikiwa pia maishani unaishi kwa kukariri namna hii unafeli vibaya sana.

Fuatilia soka
 
Back
Top Bottom