OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Itakuwa ni dharau sana arse8 akibeba ubingwa bora ata manure abebe ..ila dah manyumbu nayo yakikeba yatasumbua sana bora ata Nu Casto abebe tuš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan ni mavi matupuKuna watu wana akili kama za mavi.
Na hao si wengine bali ni manyumbu.
Uhali gani?Kumetokea nini Ligi kuu ya uingereza?
Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu.
Fikiria kikosi kibovu cha arsenal inakuwa juu ya msimamo! Msimu huu nimeangalia me his tano za arsenal nikapata majibu kuwa Arsenal hawezi kufuzu hata Uefa.
Mdau moja ameniambia Arsenal inaongoza ligi kwasababu ya break ya Kombe la Dunia lkn bado sijaridhika.
Arsenal ina wachezaji watatu tu wazuri saka, martinel na potter wengine wote vimeo.
Timu zitakazofuzu uefa msimu huu;
~ Manchester united
~ Manchester city
~ Newcastle united
~ Liverpool
Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero.
Poor arsenal!
Kwa mpira gan manyumbu yakae juuUmeongea ukweli mkuu asernal nikitimu kidogo sana nailaumu timu yangu United kwanini inaleta utani mpaka haipo pale juu
Wewe na timu yako nyote vichwa majišššUmeongea ukweli mkuu asernal nikitimu kidogo sana nailaumu timu yangu United kwanini inaleta utani mpaka haipo pale juu
Hebu shika masikio yako mawili kisha yavute huku ukijicheka. Hivi timu inaongoza EPL halafu ni mbovu? Unatumia kilevi gani wewe?Kumetokea nini Ligi kuu ya uingereza?
Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu.
Fikiria kikosi kibovu cha arsenal inakuwa juu ya msimamo! Msimu huu nimeangalia me his tano za arsenal nikapata majibu kuwa Arsenal hawezi kufuzu hata Uefa.
Mdau moja ameniambia Arsenal inaongoza ligi kwasababu ya break ya Kombe la Dunia lkn bado sijaridhika.
Arsenal ina wachezaji watatu tu wazuri saka, martinel na potter wengine wote vimeo.
Timu zitakazofuzu uefa msimu huu;
~ Manchester united
~ Manchester city
~ Newcastle united
~ Liverpool
Mpaka January inaisha naamini gape la point nane litakuwa limebaki zero.
Poor arsenal!
Ikiwa pia maishani unaishi kwa kukariri namna hii unafeli vibaya sana.Nimeangalia msimamo wa Epl nikakuta timu mbovu ya Arsenal inaongoza ligi kwenye duru ya kwanza kwa tofauti ya point nane. Hii ni aibu aibu
Umeongea ukweli mkuu asernal nikitimu kidogo sana nailaumu timu yangu United kwanini inaleta utani mpaka haipo pale juu
We still on top of the table.
Ikiwa pia maishani unaishi kwa kukariri namna hii unafeli vibaya sana.
Fuatilia soka
January ishapita
Atakua shabiki wa matako utd from manichesita
Jifunze mpira chief
Muda gani sasaTutoe muda ila ile ni timu mbovu mno