Kiukweli serikali iheshimu sekta binafsi.
Kujiajiri kwa mafanikio ni kipaji cha kipekee sana.
Hivi inawezekana vipi Joshua Nassari kutumia pesa za ubunge kwenda kusoma nje, lakini unarudi kutafuta teuzi ???
Lijualikali alikuwa anatafuta teuzi mpaka analia licha ya kuwa na mshahara, posho na mafao ya ubunge.
Kwa hali ilivyo niwapongeze sana GRADUATES mliotoka vyuoni hamna hata 100 isipokuwa deni la bodi ya mikopo halafu mnaambiwa mjiajiri, mnaishi vipi 🤣
Anayetakiwa kujiajiri ni nani kwani na anatakiwa kuwa na sifa zipi ?
Maana tunaodhani wana resources zote za kujiajiri ndio hao wanavizia teuzi tena za uDC!!!!!!