Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Mtu ameoa au ameolewa lakini bado anapeleka i love you kwa mtu mwingineKama swali lipi kwa mfano?
Hivyo tu ?Mtu ameoa au ameolewa lakini bado anapeleka i love you kwa mtu mwingine
Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga??[emoji38]
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani??
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu . HutuliiTulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini ?? Semeni
Hisia haisimami kwa kuwa umeowa mkuu.Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga??😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani??
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu . HutuliiTulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini ?? Semeni
Love all hate nonUlioa ili iweje zaa nakila mtu na umpe upendo kila mtu
Unadhani anavyouliza hivyo anapenda? Anajikaza tu roho ila hapo ana wivu anataman hata hao watu awatoe duniani ili mbaki wew na yeye tu. Na wengine huenda mbali mpk kumchezea mkeo mambo ya ovyo ili atoke aingie yeye. M'mke ambae anajua una mke usitarajie eti anafurahia familia yako haipo hvyo na hatakaa iwe hvyo ni kujibalaguza tu[emoji57] sisi ndio wanawakeMimi mademu wote ninaowatongoza lazima niwaambie kabisa nina mke. Ila mke wangu nampenda sana jamani.
Na huo ndo uanaume. Sio una mke halafu unatongoza demu unamuambia hujaoa. Mwambie una mke.
Mpaka wengine wakinipigia simu, wanaanza kabisa.. mama xxxx hajambo? Na mwanao... hahhahahaa
Hujawahi kuwaganao kimahusiano ni mmoja tu, 😳Sijawahi ambiwa mie na mtu amabye ameoa hivyoo Kwa manaa Sijawahi kuwaga nao kimahusiano ni mmoja tu
Daaah ni kweli dada angu unachosema, lakini unajua sisi wanaume tunaudhaifu na hicho kitu hapo chini. acha tu laiti ungekuwa mwanaume ungeelewa ninachosema.Unadhani anavyouliza hivyo anapenda? Anajikaza tu roho ila hapo ana wivu anataman hata hao watu awatoe duniani ili mbaki wew na yeye tu. Na wengine huenda mbali mpk kumchezea mkeo mambo ya ovyo ili atoke aingie yeye. M'mke ambae anajua una mke usitarajie eti anafurahia familia yako haipo hvyo na hatakaa iwe hvyo ni kujibalaguza tu[emoji57] sisi ndio wanawake
AiseeTunatofautiana mtazamo,we unadhani wanawake hawajui kama wanaume zao wanachepuka?
Huwa wanajua na ndo maana ili kumlindia heshima hutakiwi kufanya mambo hadharani,,
Shida usiseme nakupenda wewe omba upewe tunza basi usionyeshe hisia za kweli Kwa mtu wa Muda mfupi Hilo ndio tatizooDaaah ni kweli dada angu unachosema, lakini unajua sisi wanaume tunaudhaifu na hicho kitu hapo chini. acha tu laiti ungekuwa mwanaume ungeelewa ninachosema.
Naomba namba zako za WhatsappHaya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
IliNaomba namba zako za Whatsapp
I love u too.I love you [mention]Unique Flower [/mention]
Yes, Tena alikuwa bossy wanguHujawahi kuwaganao kimahusiano ni mmoja tu, 😳
Anayesema hivyo Kichwani kuna hitilafu na anayeambiwa hivyo akafurahia naye ni mwehu.Kwanini unadanganyika kirahisi hivyo.wanaume wa hivyo wanaowaonga hao wanawake ni mazombiHaya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Sahihi..Kuna maswali mengine hayatakaa yapate majibu kamwe