Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tuna mpaka mchezaji anayecheza Nantes ya Ufaransa!! Mbona hajawahi sasa kuitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa!!
Kuhusu kukosekana kwa hao wachezaji wa simba, ngoja tusubiri tamko kutoka kwa CEO wetu Barbara.
Taifa Stars ipi! Kama ni ile ya akina Aishi Manula ya aggregate ya 4-0, hatuwezi kuumia kwa chochote.Kumbe huwa inawauma simba wakiwa wengi taifa stars[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa nacheka sana kuhusu Ally Msengi,Huyu jamaa nimesoma nae huko Mwanza na alinizid miezi miwili now niko nakaribia 30 Sasa huyu Dogo Yeye Bado Ana <23 tu
Unazidi kuthibitisha kuwa, WENYE AKILI NI WAWILI TU! Onyango ni Mtanzania?Sasa wale kina babu onyango unwachukuliaje
Ni majina na sura tu zinafanana, ila sio yeye huyo unaemsemea.Huwa nacheka sana kuhusu Ally Msengi,Huyu jamaa nimesoma nae huko Mwanza na alinizid miezi miwili now niko nakaribia 30 Sasa huyu Dogo Yeye Bado Ana <23 tu
Huwa nacheka sana kuhusu Ally Msengi,Huyu jamaa nimesoma nae huko Mwanza na alinizid miezi miwili now niko nakaribia 30 Sasa huyu Dogo Yeye Bado Ana QUOTE]Acha kuharibu ugali wa watu
Vincent Aboubakar ni mTz?
Ukizungumzia Fulbeki za mpira ndio hiziHakuna beki ya kulia ya kitanzania anayemzidi Israel Patrick na ana miaka 22 tu ila wamechukua watu kwa majina ya timu ilihali hawajawahi kupata namba kwenye timu zao.
Au siyo.... Kwenye mechi ya Uganda tuliona kazi ya hizo beki za mpiraUkizungumzia Fulbeki za mpira ndio hizi
Lusajo Mwaikenda.
Kibwana Shomari
Halafu kuna huyo wakuitwa Nathael Chilambo.