Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Lile bunge lina binadamu timamu wanaojielewa.
Spika Wetangula anaendesha bunge hadi raha.
DP kapewa masaa mawili ambapo bunge lilikuwa kimya kumsikiliza na kuangalia video zake za ushahidi yaani mpaka unaona hawa watu wanajielewa.
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
We usifananishe bunge la kenya na mambo ya ajabu ajabu.Yaan mpaka sasa tulikua citizen tv tukifatilia mchakato mzima wa Impechment.ila aisee wakenya wametuzidi kwa vingi
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Wanaakili
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Bunge la Kenya lipo wazi (open) kwa umma na ni la kidemokrasia lenye pia kuleta bashasha na mvuto kwa wapiga kura na lenye wabunge mchanganyiko kutoka vyama tofauti vya siasa.

Bunge la Tanzania ni pale Spika atakaporuhusu "flow" na kila mtu amwage ugali na mboga hapohapo kwa kutoa mchango wake.

Pia wapiga kura wa Tanzania ndo wenye uwezo wa kulibadili bunge letu ikiwa wataruhusiwa kupiga kura kwa kutumia uwezo wa kufikiri kwamba mbunge wanomhitaji atakidhi matarajio yao na sio matarajio yake yeye.
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Watz tunapenda mabunge ya kutiana Roba na kukwidana ma suit ili asikali wa bunge amkwide Godbless Lema atupie nje ya Bunge uko.
 
Nadhani Mpaka umejenga Hoja hii, Nyuma ya pazia Unazo sababu za Msingi wewe Mtoa Mada.
Ingependeza Uziainishe halafu Sisi Tuzijazie Nyama
 
Back
Top Bottom