God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Tz hamna bunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuta nyuki dampo au kwenye mizoga!Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Si kwa kiwango cha Kenya, Tanzania bado tuna Ujamaa.Hivi kabla ya 2018 wakati wabunge wa CHADEMA walipokuwa wengi bungeni bunge lilikuwa na drama?
We ulisikia wapi kuna bunge tukufu?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
+ Jah peopleYanina nipoteze muda kumfuatilia Tale tale,kibajaji nã Tulia?
Letu wa ndioo!ni wengi hata hoja mbovu ni Akina Mwashambwa style!Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Hoja hakuna,mpina kasema ukweli nje katupwa!Bunge la kenya na wakenya wote ni level ya ulaya sisi bungee limejaa la saba na vyeti feki na machawa wasaka tongee ni aibuu mtu makini kusikiliza bunge la Tanzania.
Bunge gani tukufu lililowekwa mfukoni?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Bunge gani tukufu lililowekwa mfukoni?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Tutawezaje kusema tuna bunge ilihali wabunge ni wamchongo na spika ni kama TV ambayo remote yake ipo ChamwinoJana nilikua kwenye ofisi ya serikali tena taasisi ya kubwa tu hapa nchini. Walikua wanaangalia bunge la Kenya tena wanawasifia sana. Tanzania bunge letu halina ushawishi hata kidogo. Bunge halina uwezo wa kuwajibisha serikali zaidi ya kusifia serikali tu hata sehemu inayohitaji kukosoa wao wanasifia.
Bunge ni dhaifu zaidi ya udhaifu wenyewe.
Democratic parliament (Kenya) & Autocratic parliament (Tanzania).Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Ukiweka unafiki pembeni, utakubaliana na Ukweli mchungu Sana kwamba Bunge la Tanzania limepoteza mvuto, halina hadhi, na wananchi wengi Sana tayari wamelipuuza kwa sababu bunge hilo halina jipya.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?