Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

sasa hoja ya kufuatiliwa kwa bunge la Kenya na huyo mdudu vinahusiana nini gentleman?


au,
wewe unatofautiana nini na wale wananchi wa kenya ambao walialikwa kwenye public participation ili kutoa maoni yao kwamba RigGy abanduliwe unaibu rais ama asibanduliwa..

wao wakawa wanachant Ruto must go? 🤣
Hoja ni uoga ulionao kuona wananchi wengi zaidi wataanza kupuuza vitisho vya machawa kutaka katiba mpya!
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Sqbqbu ni kwamba angalau bunge la kenya haliendeshwi kama tv kwenye remote. Wakiamua kukubali wanakubali na wakiamua kukataa wanakataa hata kama rais ndiye kasema. Pia wanajadili mambo kwa hoja
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Na kinginge, uzalendo ni kuhakikisha kila nafasi unayoipata unatekeleza majukumu kwa faida ya Taifa na sio kuwa chawa wa mtu fulani. Uchawa unazidi kurudisha taifa nyuma kwasababu watawala wamebweteka na kuona hata wasipofanya hakuna wa kuwauliza na chawa kazi yao ni kuwaaminisha watu uongo kuhusu kiongozi
 
Hoja ni uoga ulionao kuona wananchi wengi zaidi wataanza kupuuza vitisho vya machawa kutaka katiba mpya!
vitisho vya nani, kwanini na wapi gentleman?

mbona iko wazi gentleman,
katiba mpya si muhimu hata kidogo, wanainchi serious wanaendelea vizuri sana na maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mtaa baadae Nov 27 2024 na ule uchaguzi mkuu ujao wa mwakani Oct 2025...

nyie zubaeni tu na kumbwekabweka katiba mpya katiba mpya katiba mpya kama waKenya na ruto must go wakati watu wanapiga kura 🤣
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Hujiulizi kuona vilabu vya ulaya vya mpira wa miguu vina mashabiki wengi kuliko timu zetu za ndani?
au ni mpaka England nao wafuatilie timu zetu za akina iefuuu ndo na sisi tufuatilie liverpoool?
 
Tafsir sahihi ya bunge ipo Kenya!
Hili hapa ni kikundi cha waliowekana kulinda maslahi mapana ya
1.chama
2.then wao,
3.mwananchi anakuja wa tatu, Usitegemee spika akaenda tofauti na chama hapa kwetu,uhuru huo hana!
Mwaka jana nilichapisha hapa kwamba spika wa bunge na naibu wake wachaguliwe kama wabunge kupitia uchaguzi mkuu maana ni wasimizi wa kuu wa maslahi ya wananchi
 
Sasa ww na akili yako unaweza kukaa na kumsikiliza kibajaji na jenist mhagama.
 
watanzagiza siku zote historically wamekuwa obsessed na kenya, mtanzania wa kawaida anaweza kukutajia safu nzima ya ya uongozi wa kenya mpaka majimboni wakati average mkenya hajui chochote khs tanzagiza, raisi wa tanzagiza akitembelea kenya watu hata hawajui kama yupo nchini lkn raisi wa kenya akija tanzania kila mtu anajua, headlines zote zinammulika yeye, plus hata mapinduzi yalitokea kenya, akina tundu lisu, lema & co. walikimbilia kenya lkn hakuna mkenya atakayekimbilia tanzagiza kama akizinguana na serikali yake, wakenya wanakimbilia usa au ulaya …
 
Sio kweli. Bunge la Tanzania limegeuka kuwa kibaraka wa serikali.
Utakuwa hulitendei haki kusema kuwa limegeuka, as if Bunge letu limewahi kuwa bunge la wananchi!. Lini bunge letu limewahi kuwa sio kibaraka?
P
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
WEWE ni umeleta HOJA YA KIJINGA kuja kupima upepo, wakati unajua ukweli.

Bunge la k
Kenya linajadili mambo mtambuka kwa maslahi mapana ya wakenya.
Bunge ma wabunge wake wamevuka level ya kutanguliza maslahi ya vyama vyao vya siasa, wanatanguliza maslahi ya Mama yao Kenya.

Wanapiga kura na kusign kumuondoa VICE PRESIDENT,bila kujali chama,wanatanguliza maslahi ya Kenya.

Huku TZ wabunge wa CCM watishiwa na kupewa maelekezo kwenye caucas party kutanguliza chama katika mambo ya KISHENZI.

Ccm inatoa rushwa kwa ajili ya kupitisha bajeti ya wizara flani yenye utata.

Wabunge wa Tanzania na akili zao wanakaa kitako kupitisha hoja ya kuuza Bandari benchmark ya nchi yetu.

Wanakwenda tour ya kuwa brain 🧠 wash uarabuni ili wapitishe hoja ya kuuza Bandari za BARA.

Kwahiyo mtu mwenye akili hawezi kukaa kuangalia Bunge la Tz,ni Bora kukaa kuangalia vibonzo, program za vichekesho kwenye TV kuliko kuangalia Bunge la Tanzania

Kulikuwa na wakati Bunge la Tz lilikuwa Bunge, wakati wa speaker Anne Makonda, Speaker Samwel sitta.
Bunge la Mwisho ni lile alilomaliza nalo kikwete na kuanza nalo Magufuli na kuzuiwa kuoneshwa laivu na TUMBOTUMBO Nape Mnauye.

Kukaa kuangalia bunge la Tz ni kujitoa ufahamu kwa mazingira ya sasa.

Bunge linaoogopa kujadili kwa uwazi wizi,WEZI wa Fedha za Serikali kupitia ripoti ya CAG.

Bunge linalzuia kujadili hoja za watu kutekwa na kuuwawa?? Nani awaangalie.

Kwa sasa bunge ni kama mkusanyiko wa WAHUNI,WAPIGA UPATU,WAAUZA NGADA,MADALALI WA KUUZA NCHI.

Yaani kwa sasa mijadala ya vijiwe vya kahawa unaweza kuambulia mambo ya maana kuliko Bungeni.

So acha Watu waangalie na kujifunza namna bora ya Bunge kufanya Kazi kwa weledi nchini Kenya.

Muwe na siku njema.
 
Utakuwa hulitendei haki kusema kuwa limegeuka, as if Bunge letu limewahi kuwa bunge la wananchi!. Lini bunge letu limewahi kuwa sio kibaraka?
P
Paskal nakuonya, tutakuita Tena kwenye kamati ya hadhi na mamlaka ya Bunge.....🤣🤣🤣🤣 ila ukija this time uje na kiti na maiki Yako, hatutakuacha.

Maana unaendelea KULIBHAGAZA BUNGE huu sio wakati wa KULIBHAGAZA BUNGE,😀😃🤣🤣.

Kaka tukutane Golden Fork SINZA Friday kama utakuwa na nafasi tuyajenge.🙏🙏
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
KWANI ? TANZANIA KUNA BUNGE? AU UNAZUNGUMZIA ILE MIFUGO YA TULIA INAYO NENEPESHWA PALE DODOMA ?
 
Back
Top Bottom