Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Wezi wa kura watukufu!
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Utukufu wa bunge unaendana na matendo ya bunge husika
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Mkuu hauoni kama kunakitu kinafanyika kwetu hakiwezi kufanyika? tunakuwa tumechoka na wanagapia wanasema ndio mara wote ndioooooo na wanagapi wanapinga kimya, hizo ni moja ya sababu zinazotufanya tufwatilie Bunge la wenzetu maana kuna utendaji ambao kwetu ni vigumu kabisa kuja kutokea,maana katiba zetu zina tofauti kubwa sana, twende tu mpaka tutakapo fikia.
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Watanzania kwa umbea hawajambo. Kufuatilia mambo ya watu hawajambo, ila sasa ya kwao ahh, mabadiliko kwao ahh
 
Watu wanapenda drama.

Bunge letu halina drama.

Bunge la Kenya mara wabunge wanataka kupigwa na wananchi, nara Deputy President anataka kutolewa.

Lazima wabongo wafuatilie huku wakisema "Lini na sisi tutapata chachandu kama hizi, bunge ketu limepooza sana".
Mara mbinge anaenaenda kavaa suruali ina damu damu sehemu za siri ili kuombe serikali itazamie kwa upya issue ya kodi za pedi. Yaani kila wakati kuna jambo jipya.
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
_
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Imekuwa ni mazoea mtu kudharau chako na kuthamini cha mwenzio!.
P
 
Bunge la Kenya lipo wazi (open) kwa umma na ni la kidemokrasia lenye pia kuleta bashasha na mvuto kwa wapiga kura na lenye wabunge mchanganyiko kutoka vyama tofauti vya siasa.

Bunge la Tanzania ni pale Spika atakaporuhusu "flow" na kila mtu amwage ugali na mboga hapohapo kwa kutoa mchango wake.

Pia wapiga kura wa Tanzania ndo wenye uwezo wa kulibadili bunge letu ikiwa wataruhusiwa kupiga kura kwa kutumia uwezo wa kufikiri kwamba mbunge wanomhitaji atakidhi matarajio yao na sio matarajio yake yeye.
unasemea bunge lipi mkuu, hili ambalo kwenye finance bill liliipitisha licha ya kelele za wananchi na baadaye Rais akaipiga chini bill hiyo?

unasema ni zuri kwa kwa sababu ya impeachment ya Gachagua ambayo iko orchestrated na Rais Mwenyewe?

Watanzania tunatabia ya kujidharau sana.
 
unasemea bunge lipi mkuu, hili ambalo kwenye finance bill liliipitisha licha ya kelele za wananchi na baadaye Rais akaipiga chini bill hiyo?

unasema ni zuri kwa kwa sababu ya impeachment ya Gachagua ambayo iko orchestrated na Rais Mwenyewe?

Watanzania tunatabia ya kujidharau sana.
Ukweli nikwamba hakuna kitu kamili, Bunge la Kenya ni tamu tusidanganyane.
 
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?

Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
nadhani Africa Mashariki nzima walikua wanafuatilia bunge la Kenya kuona jinsi ambavyo ubovu wa katiba yao wenyewe unavyowasulubisha wao wenyewe 🐒
 
sasa hoja ya kufuatiliwa kwa bunge la Kenya na huyo mdudu vinahusiana nini gentleman?


au,
wewe unatofautiana nini na wale wananchi wa kenya ambao walialikwa kwenye public participation ili kutoa maoni yao kwamba RigGy abanduliwe unaibu rais ama asibanduliwa..

wao wakawa wanachant Ruto must go? 🤣
 
Back
Top Bottom