hsnaturalfertility
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 399
- 992
Letu halina mvuto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa neno tukufu aiseeKuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Hakuna cha usiku mwemaUsiku mwema
Watu wanafatilia vitu vyenya maanaKuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Ni kwa sababu tangu November 2020 hatuna Bunge bali ni mkusanyiko wa wahuni wa CCM.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Watu wanapenda drama.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Duuu Mimi sijaona mtanzania anayefuatiliwa bunge la Kenya dadayangu wewe umekutana nao wapi na sample space ya tafiti yako ni kiasi gani?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
Hivi kabla ya 2018 wakati wabunge wa CHADEMA walipokuwa wengi bungeni bunge lilikuwa na drama?Watu wanapenda drama.
Bunge letu halina drama.
Bunge la Kenya mara wabunge wanataka kupigwa na wananchi, nara Deputy President anataka kutolewa.
Lazima wabongo wafuatilie huku wakisema "Lini na sisi tutapata chachandu kama hizi, bunge ketu limepooza sana".
Wote hao walipata ubunge kwa kura za mchongo, hayati alitoa maelekezo ya "yure mupe yule muruke".La kwetu sio bunge japo linaitwa bunge, ni kikao cha CCM. Sasa nani mwenye akili yake timamu atakaa kusikiliza kina Babu Tale wakimsifia Samia kwa kuleta mvua.
Kwani sisi tuna bunge?Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo.?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijwahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?