Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

Unataka kusemaje, malizia sentensi, haijafika mwisho. Eleweka mkuu.
 
Tz hakuna bunge bhana, lingekuwepo hata ile mada ya sukari tulitegemea nae Bashe aje ajibu, sio anatetewa na anakuwa huru.
Hoja ijibiwe kwa hoja ila badala yake akaenda watusha wananchi kuwa wakiendelea msikiliza mbunge wao hata serikari itasitisha huduma.
Hebu fikiria hili lingetokea kenya au nchi yoyote yenye watu wakijielewa wakiwa na bunge kweli kama muhimili wa serikali unazan nin kingetokea??
 
Kwa hali ilivyo sasa ni ngumu mno wananchi kufukia maamuzi kama hayo hatuna tofauti sana na nchi za Korea, ukiambiwa hakuna kusherekea siku flani unatakiwa kutii amri tuu na hakuna kuhoji, ukiambiwa mtoto wa rais au wa mjomba ndiye atachukua wadhifa flan mwananchi hautakiwi kuuliza wewe nikutulia tu na kufanya kazi zako.
 
Kweli kabisa,nchi ya matamko,amri na walinda dola kutembeza vichapo kwa wasio na hatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…