komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Unataka kusemaje, malizia sentensi, haijafika mwisho. Eleweka mkuu.Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea kwenye bunge letu. Sio kwamba tunajichoresha kufuatilia, kuzipa umuhimu na kufuatilia sana siasa za Kenya kama hii impeachment ya Gachagua?
🤣🤣 Wanyama+Kazi=WANYAMAKAZI🤣🤣🤣KWANI ? TANZANIA KUNA BUNGE? AU UNAZUNGUMZIA ILE MIFUGO YA TULIA INAYO NENEPESHWA PALE DODOMA ?
Kwa hali ilivyo sasa ni ngumu mno wananchi kufukia maamuzi kama hayo hatuna tofauti sana na nchi za Korea, ukiambiwa hakuna kusherekea siku flani unatakiwa kutii amri tuu na hakuna kuhoji, ukiambiwa mtoto wa rais au wa mjomba ndiye atachukua wadhifa flan mwananchi hautakiwi kuuliza wewe nikutulia tu na kufanya kazi zako.Bunge la Kenya lipo wazi (open) kwa umma na ni la kidemokrasia lenye pia kuleta bashasha na mvuto kwa wapiga kura na lenye wabunge mchanganyiko kutoka vyama tofauti vya siasa.
Bunge la Tanzania ni pale Spika atakaporuhusu "flow" na kila mtu amwage ugali na mboga hapohapo kwa kutoa mchango wake.
Pia wapiga kura wa Tanzania ndo wenye uwezo wa kulibadili bunge letu ikiwa wataruhusiwa kupiga kura kwa kutumia uwezo wa kufikiri kwamba mbunge wanomhitaji atakidhi matarajio yao na sio matarajio yake yeye.
Kweli kabisa,nchi ya matamko,amri na walinda dola kutembeza vichapo kwa wasio na hatia.Kwa hali ilivyo sasa ni ngumu mno wananchi kufukia maamuzi kama hayo hatuna tofauti sana na nchi za Korea, ukiambiwa hakuna kusherekea siku flani unatakiwa kutii amri tuu na hakuna kuhoji, ukiambiwa mtoto wa rais au wa mjomba ndiye atachukua wadhifa flan mwananchi hautakiwi kuuliza wewe nikutulia tu na kufanya kazi zako.
Eti bunge tukufu ...bongo kuna bunge mfu bwana ..Mbona inaeleweka mkuu...
Mambo mengine kukomenti ni kutafutiana kesi tu...😶
Na wewe ndo unaongoza kwenye top 10 ..raiya= raia
Sipingani na wewe katika hao raia nawe upo kwenye top ten.