Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahhaha, nasikia hadi harufu ya mmea ilisikia siku hiyo. cant blame them. ni sera za hiyo chama cha ukasikazini inatifua akili zaoView attachment 283253
CCM wameshakuwa laini kama maini hivyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni lazima wataondoka madarakani.# Mbowe.
Ulipo Tupo.
Kwa mwendo mnaoenda nao wa kuumizana wenyewe mnaipa CCM golden chance, na haitaitumia vibaya[/QUOTE CCM hiyo Golden Chance unayoiongelea wataisubiri baada ya miaka 50.
CCM hiyo Golden Chance unayoiongelea wataisubiri baada ya miaka 50.Kwa mwendo mnaoenda nao wa kuumizana wenyewe mnaipa CCM golden chance, na haitaitumia vibaya
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.
Leo hii Nyalandu ni kamanda, ha ha ha.... Kama kuuzwa kwa twiga wetu...