Wonderland Management
Senior Member
- May 28, 2014
- 132
- 94
- Thread starter
- #81
Slaa hoyeeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli kabisa ccm ni chama chenye sera mzuri... Kama kuuzwa kwa twiga wetu, madawa ya kulevya kupita airport bila tatizo, kivuko cha mwaka 1978 kimenunuliwa bilion 8, ukienda hospitali wakina mama wanajifungulia chini, elimu pia ni mzuri kuna mpaka dv 5, kwa kweli ni chama chenye sera mzuri kabisa
Wakati unaandika ilikuwa umebanwa na uharo nini??? Hueleweki kabisa.
Bora uandike kidogo lakini ujumbe ufike, lakini siyo kuandika habari isiyo na hoja wala mashiko, nadhani umeelewa. Wapinzani mkiona sehemu imeandikwa CCM mnatetemeka, mkimuona Jakaya mnatetemeka, mkimuona Kinana mnatetemeka, mkimuona Nape mnatetemeka, mkimuona Magufuli mnaumia karibu kuzimia, na mkiona kijani na njano mnateseka sana, habari ndio hiyotulia andika ueleweke unawahi Ku post
watu wenye akili za kudownload bado wamesimamia ukiwa , nawafananisha na wale wapigaji vita wa kinjekitile ngwali walioishia kusema MAJI, mwishoni wakafa wote, kidumu chama cha mapinduzi na adumu magufuli milelel
1995 mlikuja, 2000 mlikuja, 2005 mlikuja, 2010 mlikuja na sasa hivi mmekuja, tena mmekuja wote kwa pamoja (UKAWA) lakini, kilichowatokea miaka hiyo, kitawatokea tena ni mwendo wa knockout tuManaake nini sasa wewe demu?? Sera za kutorosha twiga ndiyo sera nzuri? Tumbafu gete ng'wanike bhebhe.
Bora uandike kidogo lakini ujumbe ufike, lakini siyo kuandika habari isiyo na hoja wala mashiko, nadhani umeelewa. Wapinzani mkiona sehemu imeandikwa CCM mnatetemeka, mkimuona Jakaya mnatetemeka, mkimuona Kinana mnatetemeka, mkimuona Nape mnatetemeka, mkimuona Magufuli mnaumia karibu kuzimia, na mkiona kijani na njano mnateseka sana, habari ndio hiyo
1995 mlikuja, 2000 mlikuja, 2005 mlikuja, 2010 mlikuja na sasa hivi mmekuja, tena mmekuja wote kwa pamoja (UKAWA) lakini, kilichowatokea miaka hiyo, kitawatokea tena ni mwendo wa knockout tu
hayo ni maneno yako badilika@ ww ccm sio baba hako lowassa mbele kwa mbele
tulia andika ueleweke unawahi Ku post
Anawahi kupost???? hujui kama Magufuli anasubiri Kuapishwa tuuu? #tafakari kijana.....sera chadeeewhatever hamna tenaa. kwisha habari mjipange upyaaa see you 2025 tena wala 2020 hamtushikitulia andika ueleweke unawahi Ku post
Na wewe Lowasa siyo baba yako, badilika wacha upapa, kufuata fuata mapapa, mlisema wenyewe kama huyo jamaa ni papa, leo mnasema ndio mabadiliko, hizo akila au matope?Hayo ni maneno yako badilika@ ww Ccm sio baba hako lowassa mbele kwa mbele