nolieonlytruth
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 340
- 64
Unajua kuna mwanafalsafa moja alisema " A leader takes a lot more in his share of Blame and Little more in his share of Credits"
Real? Wow what a quote to make urself feel gud
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kuna mwanafalsafa moja alisema " A leader takes a lot more in his share of Blame and Little more in his share of Credits"
Wanyama uliwZaa wwYes walikuwepo ndani ya CCM sasa kwa nini nikipigie kura chama ambacho kinaweza kuuza mpaka wanyama wetu? si mwisho wa siku watatuuza na sisi wanainchi na ukumbuke Lowasa yuko nje ya serikali kwa miaka 8 now
Real? Wow what a quote to make urself feel gud
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.
Ume firisika sera Nolieon.
Correction of error!!! Sema nitaje sababu za kuwa mwanachama Wa CCM sio mshabiki cause the fact is Mimi sio mshabiki. Ni mwanachama.
Bora nifirisike na Sera kuliko kuwa na Sera za kupandisha twiga ndege, kuongeza umaskini tz
Bora nifirisike na Sera kuliko kuwa na Sera za kupandisha twiga ndege, kuongeza umaskini tz
Una ushahidi? Kama unao peleka mahakamani.
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.
Nyie Lowassa akiwa CCM mlisema ni Fisadi na MNA ushahidi wote mbona hamu kwenda? Au Tindu Lissu ali sema mtapoteza pesa? Sisi adhabu tulio mpa ya kumkata ime mtosha.
Yes walikuwepo ndani ya CCM sasa kwa nini nikipigie kura chama ambacho kinaweza kuuza mpaka wanyama wetu? si mwisho wa siku watatuuza na sisi wanainchi na ukumbuke Lowasa yuko nje ya serikali kwa miaka 8 now
Na vijijini hakuna kura zaidi ya mbwembwe, sisi mziki wetu mnaujua na benki zetu mnazielewa kwani mpaka sasa tuna 95% katika wiki ya 1 ya kampeni kuelekea Ikulu ..Hapa kazi tu
Badilika kwanza wewe kwenye akili yako. Kama unafikiria Fiasadi atakusaidia, umelamba galasa.vijijini kwenye watu wanataka mabadiliko. Nani asiejua dhaifu kaharibu maisha ya wananchi na uchumi ujumla, gharama za maisha zimepanda kwa kasi kubwa. Labda ufisadi ndio kazi Tu kwa ccm. Tunataka mabadiliko na Hilo lipo wazi Lowasa anakwenda kuchukua nchi hapo octobar.
Nyie vibaraka wa ccm mlioko humu jf walah kwa hali ilivyo ndani ya ccm na mafuriko ya ukawa na wananchi walivyoelimika nishaona jinsi mnavyoikimbia tz october 26 .