ezma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2014
- 1,463
- 532
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.
Rudi shule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.
viroba vilikuwepo jangwani 29th, mpaka babu yenu akalewa harufu tu maskini. lowasa anaita luwasaa bwahahahha CCM mbele kwa mbeleeeeeHangover ya viroba bado wanayo wale vijana wahuni wahuni wajana. Uki zingatia ni weekend so usi shangae.
Bora uandike kidogo lakini ujumbe ufike, lakini siyo kuandika habari isiyo na hoja wala mashiko, nadhani umeelewa. Wapinzani mkiona sehemu imeandikwa CCM mnatetemeka, mkimuona Jakaya mnatetemeka, mkimuona Kinana mnatetemeka, mkimuona Nape mnatetemeka, mkimuona Magufuli mnaumia karibu kuzimia, na mkiona kijani na njano mnateseka sana, habari ndio hiyo
ccm, mbele kwa mbele, tunataka mafanikio , na maendeleo bora sio bora maendeleo, mjipange wapinzani mwaka mwingine mje na trekta , sio kisu tena butu #hapakazitu
Na ukimaliza kusoma uende ukamsimulie El na Ukiwa halafu utanunuliwa Viroba vingine ila ccm huku ni juice tu viroba marufuku,mwisho wa viroba kwenye mikutano ya El na Ukiwa:A S-frusty:Hangova ya viroba ikiisha rudia tena kusoma u.pu.pu uliopakaza humu
Ni kweli kabisa ccm ni chama chenye sera mzuri... Kama kuuzwa kwa twiga wetu, madawa ya kulevya kupita Airport bila Tatizo, kivuko cha mwaka 1978 kimenunuliwa Bilion 8, ukienda hospitali wakina mama wanajifungulia chini, Elimu pia ni mzuri kuna mpaka dv 5, kwa kweli ni chama chenye sera mzuri kabisa
Hayo ni maneno yako badilika@ ww Ccm sio baba hako lowassa mbele kwa mbele

Nje ya serikali ila NI mwanachama Na mjumbe Wa kamati kuu NEC pia mjumbe meza kuu CCM ambayo ndio Chama chenye Dola mpaka sasa. So Ilani ya sasa anaijua in and out. Na mipango yote anajua. Kumbuka mambo yaki shindikanaga Bungeni wanaitana kwenye kikao cha Chama haraka baada ya vikao Vya Bunge. Una semaje yuko Nje. Wakati pia NI mzee mshauri Wa Chama toka 2009.
UKAWA TOLEO JIPYA HAIFAI KUPEWA DHAMANA YA KUONGOZA TAIFA HILI PENDWA LA JMT, NI GENGE LA WAHUNI, WASALITI WA MISINGI YAO, VIGEUGEU, WANAFIKI NA WAZANDIKI WALIOTUKUKA, watanzania hatupo tayari kuuza nchi yetu, TUMESHASEMA KWA WINGI KUWA HATUTACHAGUA UKAWA TOLEO JIPYA.
Mliotolewa ufahamu endeleeni na UZEZETA WENU.
Baba yake siyo ccm, lakini pia na wewe Lowasa siyo baba yako, Lowasa ni ccm B, kwahiyo wewe kama unampenda Lowasa basi kaa ukijua unaipenda ccm, kama walivyotengua kauli zao mf, MBOWE: "Lowasa chadema over my dead body" SLAA: ";Lowasa fisadi" watabadilika tu, warudi CCM walikotoka, na CCM watamkuta mzee Magufuli na mahakama yake ya mafisadi, sijui nini kitatokea hapo
View attachment 283254
Kwahiyo unasema ni kheri hayo maharamia 200 kuliko huyu mmoja lowassa?Bora nichague huyu mmoja aliyejiunga na watanzania kuliko kundi lile lenye malengo yaleyale
Yani safari hii jiwe moja wote puuuuuhhh....afu wasipo angalia Zitto na ACT wana rudi na wabunge wengi
hahhaha, nasikia hadi harufu ya mmea ilisikia siku hiyo. cant blame them. ni sera za hiyo chama cha ukasikazini inatifua akili zaoView attachment 283253