Elections 2015 Inang'ara CCM, Kimenuka kwa Wapinzani

CCM wameshakuwa laini kama maini hivyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni lazima wataondoka madarakani.# Mbowe.

Ulipo Tupo.
 
CCM wameshakuwa laini kama maini hivyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni lazima wataondoka madarakani.# Mbowe.

Ulipo Tupo.

Kwa mwendo mnaoenda nao wa kuumizana wenyewe mnaipa CCM golden chance, na haitaitumia vibaya
 
Kwa mwendo mnaoenda nao wa kuumizana wenyewe mnaipa CCM golden chance, na haitaitumia vibaya[/QUOTE CCM hiyo Golden Chance unayoiongelea wataisubiri baada ya miaka 50.
 
Kwa mwendo mnaoenda nao wa kuumizana wenyewe mnaipa CCM golden chance, na haitaitumia vibaya
CCM hiyo Golden Chance unayoiongelea wataisubiri baada ya miaka 50.
 
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.

CCM imedhoofika sana,imefika wakati mchana wapo CCM usiku wapo UKAWA!!Wanakula CCM kura watapiga UKAWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…