Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
More than the WASTE.NEC haina tofauti na waste products tunazo tupaga daily jalalani & kwenye dustin bin..
Amen.Pole kop mwenzangu, mandala wa kura yako yupo, iv makamba anaweza kumpa kura jiwe? Kama hawez basi kura yako itapatika kwA Makamba au kinana
Kama kashindwa kutupa haki zetu miaka mitano iliyopita atawezaje kuzitoa ijayo?Haitasaidia maana kura za Magufuli zitakuwa ni nyingi sana kiasi hata mkiziiba bado atawashinda tuu.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Nimemis Mtini Pup kitambo sanaAmen.
#YNWA
Lazima ashinde.Usijali, unaweza kumsaidia michango ili aweze kuishi baada ya Oktoba 28, kama una nguo ambazo huzihitaji, mafuta ya kupikia au hata sehemu ya kulala, unaweza saidia, ...
Nauli kutoka DSM mpaka kazini ni 65,000/= kwenda nakurudi chuo ni 130,000/=Wewe hovyo tu. Ulishindwa nini kurudi ulikojiandikishia. Shauri yako safari hii utalimia fizi akipita baba yule. Utaipotezaje kura ya TL kizembe hivyo?
Pole sn mkuuNauli kutoka DSM mpaka kazini ni 65,000/= kwenda nakurudi chuo ni 130,000/=
Mind you; sifanyi Kazi Songea ila ni Ruvuma.
#YNWA