Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Kwa hiyo uliamini kitundu kitakupandisha daraja na kukupa hayo yote eeh? Hivi unafanya 'research' gani vile kwa upeo wako mdogo hivi wa kufikiri!?
JPM ndio mpango mzima! Tutapaishiwa mishahara na madaraja mpaka tuseme poo! JPM ndio mpango mzima! Ngoja sgr, Mwl. Nyerere dam vikamirike, Mambo ya libya ya Gadafi tutayaishi Tz!
JPM ndio mpango mzima! Tutapaishiwa mishahara na madaraja mpaka tuseme poo! JPM ndio mpango mzima! Ngoja sgr, Mwl. Nyerere dam vikamirike, Mambo ya libya ya Gadafi tutayaishi Tz!