Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #41
Amen.Kama ulikusudia kuwapigia kura wapinzani, mimi nimekuwakilisha
Thanks.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen.Kama ulikusudia kuwapigia kura wapinzani, mimi nimekuwakilisha
Sanaa mkuu.
Kwahiyo yeye akiwa raisi ndio agome kutoa haki za watu?aisee kaa ukijua jamaa ndo anaenda kua raisi wa milele, rejea bunge la mwisho la ndugai, hutaki hama nchi
Tushapigwa 7 ila ubingwa lazimaVipi mwaka huu hamtaki kuvunja record ya Gunners?
nyingi ni feki... na bado mnatumia nguvu kubwa kutuaminisha kuwa meko anakubalika kuliko mtu yoyote😂Haitasaidia maana kura za Magufuli zitakuwa ni nyingi sana kiasi hata mkiziiba bado atawashinda tuu.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Haya mdada wa certificate mwenye akili za PhD.Uandishi mbovu kabisa mwanafunzi wa masters na mtumishi wa umma. Una haki ya kukosa kupiga kura.
Acha kupenda cancer iitwa CCMJamani kuweni karibu na huyu mtu anaweza kujinyonga kwa hasira.
Ila usijitundike bana, Liver tutapoteza shabiki 😅😅
YNWA
Mimi siyo mwanaccm, sina chama. Ukweli ni kwamba ccm walijieleza vizuri zaidi kwetu independents na mimi nikawakubali.Acha kupenda cancer iitwa CCM
#YNWA
Kwahiyo yeye akiwa raisi ndio agome kutoa haki za watu?
#YNWA
Kifupi nahitaji haki yangu.dogo ukiongezewa mshahara haimaanishi ndo unatoka kimaisha, sjui una tundu akilini
You LL never walk alone....tujifariji a timu yetu mkuu...inayotupa Raha.....HUU UCHAFUZI HAUNA MAANA,BORA HATA HUKUPIGA,HAWA JAMAA NI WEZI ZAIDI YA PROFESA NDUMILAKUWILISheria ya utumishi wa imma zinamkataza mtumishi kujihusisha na Mambo ya siasa.
Hivyo mi nilichohitaji ni kupiga tu kura then nirudi home nikaendelee na Mambo yangu.
#YNWA
Point yangu ni kutumia hizo ""insult words""Na ww ukiona mada imekuchoma bc tulia hvy hvy
Tumeipenda wenyewe,chaguo letu wenyewe tunaamini katika CCM na Magufuli kwa MAENDELEO ya TANZANIA.nyingi ni feki... na bado mnatumia nguvu kubwa kutuaminisha kuwa meko anakubalika kuliko mtu yoyote[emoji23]
Mkuu hii sikwa Zungu tu nadhani wameitumia Tz nzima,wanafunzi wadgo waliandaliwa kupiga kuraWaulize NEC kuhusu wanafunzi chini ya miaka 18 waliokuwa wanafundishwa na Hassan Zungu, Naibu Waziri Mazingira, kumpigia kura za ndio magufuli wamepiga kura kituo gani. Nawe kajiunge nao. Kama itakuwa haramu kwako, basi itakuwa jinai kwa Zungu na wanafunzi wake.
Watanzania gani wa Diaspora au maan wa bongo humu mpaka mmetumia kura fekiTumeipenda wenyewe,chaguo letu wenyewe tunaamini katika CCM na Magufuli kwa MAENDELEO ya TANZANIA.
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Tena ya titiCCM ni CANCER.
#YNWA