Sasa jiwe anahusikaje hapo wakati hata yeye kura zake nyingi tu hazitapigwa! Hapa ninao wanna Wana wa JPM kindakindaki na waliokuwa na usongo wa kumkomesha shoga wameshindwa kupigia kura kwa sababu Kama hiyo! Hebu townie mihemko ktk Mambo Kama haya! Hayana uhusiano na JPM! Karibuni kwenye sherehe za kumuapisha rais JPM!Chaguzi zilizopita ulikua unapiga KURA.
Ukifika kituo cha kupigia KURA unapewa form Kati ya namba 8 au 13 (nimesahau exactly namba).
Ila mwaka huu hili halipo.
Na mabadiliko haya yametangazwa tarehe 25.
Jiwe kwani anaogopa nini?
#YNWA
Usijali, unaweza kumsaidia michango ili aweze kuishi baada ya Oktoba 28, kama una nguo ambazo huzihitaji, mafuta ya kupikia au hata sehemu ya kulala, unaweza saidia, ...
Pole sana. Mke wangu pia ameshindwa kupiga kura jina halikuonekana. Changamoto ni nyingi sana.
Hili la ushoga ameshalijibu.Kama ni huyo mbeljiji wamefanya Jambo la maana maana mashoga Tanzania hawatakiwi.
Vipi mwaka huu hamtaki kuvunja record ya Gunners?Hili la ushoga ameshalijibu.
#YNWA
Usijali, unaweza kumsaidia michango ili aweze kuishi baada ya Oktoba 28, kama una nguo ambazo huzihitaji, mafuta ya kupikia au hata sehemu ya kulala, unaweza saidia, ...
Kama kashindwa kutupa haki zetu miaka mitano iliyopita atawezaje kuzitoa ijayo?
Mwambie namdai increament zangu za miaka 5 maadaraja yangu mawili
#YNWA