Usisingizie watu wa vijijini kwamba hawamjui LISSU nakuhakikishia kwamba hakuna kijiji ktk taifa hili kwamba hawamjui LISSU na kama una ubavu nipo tayari kugharimia utafiti tena tutumie njia za kitaalam za kufanya utafiti nakupa nafasi wewe binafsi chagua kijiji chochote hapa tz tukafanye random sampling halafu tuje na majibu hapa JF kwamba kijiji X hakuna mwananchi aliyewahi sikia jina la LissuLisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Tundu huyu huyu Antipas ?Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.
Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.
Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.
Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.
Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.
Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.
Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.
Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Simba usimwite Tundu, Sema SimbaTundu huyu huyu Antipas ?
Alikuwa anajipa moyoUsisingizie watu wa vijijini kwamba hawamjui LISSU nakuhakikishia kwamba hakuna kijiji ktk taifa hili kwamba hawamjui LISSU na kama una ubavu nipo tayari kugharimia utafiti tena tutumie njia za kitaalam za kufanya utafiti nakupa nafasi wewe binafsi chagua kijiji chochote hapa tz tukafanye random sampling halafu tuje na majibu hapa JF kwamba kijiji X hakuna mwananchi aliyewahi sikia jina la Lissu
Mikutano yake unayoiona sasa anafanyia mitandaoni? Na huyo anayefahamika mpaka vijijini mbona kajaza mabango ya kampeni barabarani kabla ya wakati? Anamuogopa nani?Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
HahahaMikutano yake unayoiona sasa anafanyia mitandaoni? Na huyo anayefahamika mpaka vijijini mbona kajaza mabango ya kampeni barabarani kabla ya wakati? Anamuogopa nani?
Akikupa majibu nishtueMikutano yake unayoiona sasa anafanyia mitandaoni? Na huyo anayefahamika mpaka vijijini mbona kajaza mabango ya kampeni barabarani kabla ya wakati? Anamuogopa nani?
Ni kweli kabisa. Naona aliyejipanga kajaza mabango nchi nzima, kamata kamata kilo kona. Mnaogopa nini? π π πChadema Badoo hawajajipanga.
Mama hatauweza mziki wa Lissu.
Simaanishi Mimi sisiemu hapana mi neutral,tamanio langu ni kuona nchi yetu inakua na vyama viwili strong kama US hapa ndipo maendeleo ya Kasi tutayapata maana jeuri ya chama tawala itapungua.Ni kweli kabisa. Naona aliyejipanga kajaza mabango nchi nzima, kamata kamata kilo kona. Mnaogopa nini? π π π
ataishia kuwa mbunge tuSawa kama atahamia na Kuwa Rais kuna shida gani?
Sio level yake kwa sasaataishia kuwa mbunge tu
Hahah..Chura vs Simba.
Kwamba kuna kijiji wanamjua samia??? HahahahahLisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Wenzako hawana raha huko.Wewe ukikaa kwenye kigoda unachoma mahindi ndiyo unawaza ulichokiandika.Tofauti kabisa na uhalisia.ni kipi CCM walichokosa mpka wamshawishi Tundu lisu kuwa mgombea mwenza.
Hilo jambo haliwezekani.
Hahaha......Mama anamkubali sanaAnatumia Sana huyo mama. Mara amwite mwanangu, Mara amwite Simba, kesho atamwita Rais wangu.