Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Usisingizie watu wa vijijini kwamba hawamjui LISSU nakuhakikishia kwamba hakuna kijiji ktk taifa hili kwamba hawamjui LISSU na kama una ubavu nipo tayari kugharimia utafiti tena tutumie njia za kitaalam za kufanya utafiti nakupa nafasi wewe binafsi chagua kijiji chochote hapa tz tukafanye random sampling halafu tuje na majibu hapa JF kwamba kijiji X hakuna mwananchi aliyewahi sikia jina la Lissu
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Tundu huyu huyu Antipas ?
 
Usisingizie watu wa vijijini kwamba hawamjui LISSU nakuhakikishia kwamba hakuna kijiji ktk taifa hili kwamba hawamjui LISSU na kama una ubavu nipo tayari kugharimia utafiti tena tutumie njia za kitaalam za kufanya utafiti nakupa nafasi wewe binafsi chagua kijiji chochote hapa tz tukafanye random sampling halafu tuje na majibu hapa JF kwamba kijiji X hakuna mwananchi aliyewahi sikia jina la Lissu
Alikuwa anajipa moyo
 
Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Mikutano yake unayoiona sasa anafanyia mitandaoni? Na huyo anayefahamika mpaka vijijini mbona kajaza mabango ya kampeni barabarani kabla ya wakati? Anamuogopa nani?
 
Mikutano yake unayoiona sasa anafanyia mitandaoni? Na huyo anayefahamika mpaka vijijini mbona kajaza mabango ya kampeni barabarani kabla ya wakati? Anamuogopa nani?
Hahaha
 
Mikutano yake unayoiona sasa anafanyia mitandaoni? Na huyo anayefahamika mpaka vijijini mbona kajaza mabango ya kampeni barabarani kabla ya wakati? Anamuogopa nani?
Akikupa majibu nishtue
 
Ni kweli kabisa. Naona aliyejipanga kajaza mabango nchi nzima, kamata kamata kilo kona. Mnaogopa nini? 😀 😀 😀
Simaanishi Mimi sisiemu hapana mi neutral,tamanio langu ni kuona nchi yetu inakua na vyama viwili strong kama US hapa ndipo maendeleo ya Kasi tutayapata maana jeuri ya chama tawala itapungua.

Majibu kama "hamia Burundi" yatakoma ushindani wa kujenga nchii itakua juu maana ukizingua uchaguzi ukija chama kingine kinashika madaraka.Lakini sioni chama mbadala Cha kuing'oa CCM kwa Sasa ingawa raia wapotayari kuyapokea mabadiliko wengi....eg.clip Moja ilitembea Mbowe akihubili kujali Wachaga,ilinisikitisha sana.
 
Back
Top Bottom