Sasa uwaamini wanaosikiliza kuliko kusema "kama ni kweli alisema hivyo". Hiyo kauli ni kama vile huwaamini waliosikia na kukuletea hapa.Hotuba za Rais wa sasa mimi huwa sizifuatilii,huwa nakuja tu humu kusoma summary ikitokea amesema jambo lenye uzito
Rais alikwishakiri kuwa alifeli fomu IV. Na yule mwingine aliyetangulia alishindwa kwenda full combination (PCM, nk) akaishia half-combi (CM) Mkwawa. Hivi kwa nini ni vigumu kupata Rais smart kama Mkapa, Nyerere? Hawa CCM sijui huwa wanachaguana kwa vigezo gani tu!!
Kumbe ni dharau plus chokochoko na siyo ugaidi? Ndiyo maana majaji wanapata taabu sana na hiyo kesi. Ndiyo maana yule jaji Siyani alipewa promotion.Kwani Rais kasema atasamehe bila mtu kuhukumiwa? Na je kama atatoa maelezo kwa DPP?
Acheni ujinga ,Mbowe kaelezwa wazi aache dharau na kuleta chokochoko Nchini.
Doooh basi tuna tatizo kubwa la mifumo inayotumika kupata viongozi kwenye hii nchi.
Inasikitisha sanaKuhusu kukosea kosea kwa maneno kunazidi kuongezeka kwa Mheshimiwa Rais wetu. Wkt akihojiwa na BBC aliongea kuwa wenzake Mbowe walishafungwa na ilikuwa inasubiriwa Mbowe tu arudi kutoka ughaibuni naye afungwe!
Ninavyojua mimi kwa mtu asiyeelewa (yaan layman) hata kupelekwa mahakamani ni sawa na kufungwa. Kwa maana hiyo usahihi kwa wakati huo wasiadizi wa Rais walipaswa kuwa wameshaeleza kwa ufasaha kuwa Mbowe alikuwa anasubiriwa akirudi afikishwe mahakamani kujibu tuhuma zake na sio kufungwa kama alivyoeleweka Rais wakati huo.
Leo pia kwa kujua kuwa suala la Mbowe lingejitokeza mkutanoni Rais alipaswa kuwekwa vema kuwa iwapo angegusia issue ya msamaha angeweka "caveat" kuwa iwapo mahakama itamwona Mbowe ana hatia basi masuala ya msamaha wa Rais yataangaliwa huko mbeleni. Au angeelekeza tu kwa DPP kuwa iwapo inaonekana kesi ya Mbowe haina maslahi kwa umoja wa Taifa letu basi aangalie namna ya kuachana nayo
Ukitafakari kwa kina maana anayokuwa amekusudia kuiongea Mh. Rais inatofautiana sana na maneno ambayo humtoka na hivyo badala yake kuzaa minong'onon mingi ambayo kwa kiasi inasumbua sana.
Ukweli wasaidizi wa Mh.Rais kwa upande wa Sheria na hotuba probably hawajajipanga vizuri na kumsababishia kutoeleweka vizuri na WaTanzania na dunia inayofuatilia siasa zetu.
Ushauri - Rais aangalie namna ya kubadili wasaidizi wake upande wa Hotuba na hata Sheria. Hawa watazidi kumharibia sana kadri siku zinavyosonga mbele!
Ni hayo tu.
Mod. ninaomba usiunganishe au kufuta uzi huu kwani umebeba ujumbe wa kipekee!
Kwa sasa hakuna Rais pale bali sanamu la micheliniKuhusu kukosea kosea kwa maneno kunazidi kuongezeka kwa Mheshimiwa Rais wetu. Wkt akihojiwa na BBC aliongea kuwa wenzake Mbowe walishafungwa na ilikuwa inasubiriwa Mbowe tu arudi kutoka ughaibuni naye afungwe!
Ninavyojua mimi kwa mtu asiyeelewa (yaan layman) hata kupelekwa mahakamani ni sawa na kufungwa. Kwa maana hiyo usahihi kwa wakati huo wasiadizi wa Rais walipaswa kuwa wameshaeleza kwa ufasaha kuwa Mbowe alikuwa anasubiriwa akirudi afikishwe mahakamani kujibu tuhuma zake na sio kufungwa kama alivyoeleweka Rais wakati huo.
Leo pia kwa kujua kuwa suala la Mbowe lingejitokeza mkutanoni Rais alipaswa kuwekwa vema kuwa iwapo angegusia issue ya msamaha angeweka "caveat" kuwa iwapo mahakama itamwona Mbowe ana hatia basi masuala ya msamaha wa Rais yataangaliwa huko mbeleni. Au angeelekeza tu kwa DPP kuwa iwapo inaonekana kesi ya Mbowe haina maslahi kwa umoja wa Taifa letu basi aangalie namna ya kuachana nayo
Ukitafakari kwa kina maana anayokuwa amekusudia kuiongea Mh. Rais inatofautiana sana na maneno ambayo humtoka na hivyo badala yake kuzaa minong'onon mingi ambayo kwa kiasi inasumbua sana.
Ukweli wasaidizi wa Mh.Rais kwa upande wa Sheria na hotuba probably hawajajipanga vizuri na kumsababishia kutoeleweka vizuri na WaTanzania na dunia inayofuatilia siasa zetu.
Ushauri - Rais aangalie namna ya kubadili wasaidizi wake upande wa Hotuba na hata Sheria. Hawa watazidi kumharibia sana kadri siku zinavyosonga mbele!
Ni hayo tu.
Mod. ninaomba usiunganishe au kufuta uzi huu kwani umebeba ujumbe wa kipekee!
Utakuwa unapakwa mafuta yaliyokuwa chumbani kwa mwenezi wenu Babu kijana sio bure wewe. Kwa maelezo yangu na yako no vitu viwili tofauti. Kajifute KY unayopakwa ndio uje kusoma vizuri na mjinga babako mbwa wewe sio sababu umekopa MB ndio unakuja na lugha za kipumbavu kuwa na heshima . BlaaaalifakenKwani Rais kasema atasamehe bila mtu kuhukumiwa? Na je kama atatoa maelezo kwa DPP?
Acheni ujinga ,Mbowe kaelezwa wazi aache dharau na kuleta chokochoko Nchini.
Inawezekana kabisa!Mama nahisi ana ishu personal na Mbowe, kila akitajiwa kuhusu Mbowe huwa anapaniki sana na anajikuta anaropoka mambo yasiyo ya msingi.
Nadhani ni zaidi ya tunayoyajua kuhusu mama na uhusika wake kwa hii kesi ya Mbowe.
Kuhusu msamaha mwenyewe kwanza nimemshangaa yeye kusema anaweza kusamehe, sasa Mbowe bado hajahukumiwa yeye mam anawezaje kusamehe kama sio yeye ndio ameishikilia hii kesi??
Rais anaweza kusamehe mtu endapo atakutwa na hatia mahakamani, lakini mtu ambaye bado ni mtuhumiwa nadhani mtu mwenye mamlaka ya kuondoa kesi ni DPP, naelewa anapisema "anaweza kumsamehe" alimaanisha anaweza kumpa maelekezo DPP asiendelee na kesi waifunge Mahakamani which means Mbowe atakuwa Freeman kama jina lake Ila mama hakupaswa kutumia lugha za namna hiyo Kama kweli yeye Hana personal interest na hiyo kesi.
There is more into it tutakuja kujua ukweli tu.
Jaji huyu hawezi kumwangusha Samia!Kumbe ni dharau plus chokochoko na siyo ugaidi? Ndiyo maana majaji wanapata taabu sana na hiyo kesi. Ndiyo maana yule jaji Siyani alipewa promotion.
Ngoja tusubiri njia atakayotumia kumsamehe mtuhumiwa wa ugaidi, kwamba ni baada ya hukumu? Au kwa kupitia DPP? Maana hukumu inaonekana ilishakua tayari.
hv mbowe anamaslahi gani mapana ya kitaifa!!??,msilinganishe uchafu na hili taifa.kila kiumbe ktk hili taifa Kiko chini ya Sheria za taifa,Sheria ndizo ztaamua na kutoa maamuz ama anaachiwa ,ama anakula nyundo!!acheni kelele.Kusameheana kupo na inawezekana iwapo mama akiamua kumwambia DPP kesi aachane nayo kwa maslahi mapana ya taifa.
Dah! Umepiga mochwari bwashee.Upstair mkuu ndo tatzo
Utaja geuka tu soon!hv mbowe anamaslahi gani mapana ya kitaifa!!??,msilinganishe uchafu na hili taifa.kila kiumbe ktk hili taifa Kiko chini ya Sheria za taifa,Sheria ndizo ztaamua na kutoa maamuz ama anaachiwa ,ama anakula nyundo!!acheni kelele.
Du!Dah! Umepiga mochwari bwashee.
DuUkweli lazima usemwe huyu mama amekuwa Rais kama ajali...
Period.
Bi tozo kajizungushia wazanzibari wenzake, unategemea niniKuhusu kukosea kosea kwa maneno kunazidi kuongezeka kwa Mheshimiwa Rais wetu. Wkt akihojiwa na BBC aliongea kuwa wenzake Mbowe walishafungwa na ilikuwa inasubiriwa Mbowe tu arudi kutoka ughaibuni naye afungwe!
Ninavyojua mimi kwa mtu asiyeelewa (yaan layman) hata kupelekwa mahakamani ni sawa na kufungwa. Kwa maana hiyo usahihi kwa wakati huo wasiadizi wa Rais walipaswa kuwa wameshaeleza kwa ufasaha kuwa Mbowe alikuwa anasubiriwa akirudi afikishwe mahakamani kujibu tuhuma zake na sio kufungwa kama alivyoeleweka Rais wakati huo.
Leo pia kwa kujua kuwa suala la Mbowe lingejitokeza mkutanoni Rais alipaswa kuwekwa vema kuwa iwapo angegusia issue ya msamaha angeweka "caveat" kuwa iwapo mahakama itamwona Mbowe ana hatia basi masuala ya msamaha wa Rais yataangaliwa huko mbeleni. Au angeelekeza tu kwa DPP kuwa iwapo inaonekana kesi ya Mbowe haina maslahi kwa umoja wa Taifa letu basi aangalie namna ya kuachana nayo
Ukitafakari kwa kina maana anayokuwa amekusudia kuiongea Mh. Rais inatofautiana sana na maneno ambayo humtoka na hivyo badala yake kuzaa minong'onon mingi ambayo kwa kiasi inasumbua sana.
Ukweli wasaidizi wa Mh.Rais kwa upande wa Sheria na hotuba probably hawajajipanga vizuri na kumsababishia kutoeleweka vizuri na WaTanzania na dunia inayofuatilia siasa zetu.
Ushauri - Rais aangalie namna ya kubadili wasaidizi wake upande wa Hotuba na hata Sheria. Hawa watazidi kumharibia sana kadri siku zinavyosonga mbele!
Ni hayo tu.
Mod. ninaomba usiunganishe au kufuta uzi huu kwani umebeba ujumbe wa kipekee!
kuna namna sijaipenda ambayo ni ya kuunganisha uzi kwenye vipengele visivyoeleweka niliandika humu uzi usiku na watu wakaanza kuchangia asubuh nakuta uzi umeyeyuka sijui umehamishwaKuhusu kukosea kosea kwa maneno kunazidi kuongezeka kwa Mheshimiwa Rais wetu. Wkt akihojiwa na BBC aliongea kuwa wenzake Mbowe walishafungwa na ilikuwa inasubiriwa Mbowe tu arudi kutoka ughaibuni naye afungwe!
Ninavyojua mimi kwa mtu asiyeelewa (yaan layman) hata kupelekwa mahakamani ni sawa na kufungwa. Kwa maana hiyo usahihi kwa wakati huo wasiadizi wa Rais walipaswa kuwa wameshaeleza kwa ufasaha kuwa Mbowe alikuwa anasubiriwa akirudi afikishwe mahakamani kujibu tuhuma zake na sio kufungwa kama alivyoeleweka Rais wakati huo.
Leo pia kwa kujua kuwa suala la Mbowe lingejitokeza mkutanoni Rais alipaswa kuwekwa vema kuwa iwapo angegusia issue ya msamaha angeweka "caveat" kuwa iwapo mahakama itamwona Mbowe ana hatia basi masuala ya msamaha wa Rais yataangaliwa huko mbeleni. Au angeelekeza tu kwa DPP kuwa iwapo inaonekana kesi ya Mbowe haina maslahi kwa umoja wa Taifa letu basi aangalie namna ya kuachana nayo
Ukitafakari kwa kina maana anayokuwa amekusudia kuiongea Mh. Rais inatofautiana sana na maneno ambayo humtoka na hivyo badala yake kuzaa minong'onon mingi ambayo kwa kiasi inasumbua sana.
Ukweli wasaidizi wa Mh.Rais kwa upande wa Sheria na hotuba probably hawajajipanga vizuri na kumsababishia kutoeleweka vizuri na WaTanzania na dunia inayofuatilia siasa zetu.
Ushauri - Rais aangalie namna ya kubadili wasaidizi wake upande wa Hotuba na hata Sheria. Hawa watazidi kumharibia sana kadri siku zinavyosonga mbele!
Ni hayo tu.
Mod. ninaomba usiunganishe au kufuta uzi huu kwani umebeba ujumbe wa kipekee!
Hauko sawa kabisa,issue ya mbowe wafuasi wengi tu wa chadema tayari walishafungwa,na eti kumfundusha rais aseme vipi we unappdanganya mkeo au mmeo huwa unaomba kufunzwa?Kuhusu kukosea kosea kwa maneno kunazidi kuongezeka kwa Mheshimiwa Rais wetu. Wkt akihojiwa na BBC aliongea kuwa wenzake Mbowe walishafungwa na ilikuwa inasubiriwa Mbowe tu arudi kutoka ughaibuni naye afungwe!
Ninavyojua mimi kwa mtu asiyeelewa (yaan layman) hata kupelekwa mahakamani ni sawa na kufungwa. Kwa maana hiyo usahihi kwa wakati huo wasiadizi wa Rais walipaswa kuwa wameshaeleza kwa ufasaha kuwa Mbowe alikuwa anasubiriwa akirudi afikishwe mahakamani kujibu tuhuma zake na sio kufungwa kama alivyoeleweka Rais wakati huo.
Leo pia kwa kujua kuwa suala la Mbowe lingejitokeza mkutanoni Rais alipaswa kuwekwa vema kuwa iwapo angegusia issue ya msamaha angeweka "caveat" kuwa iwapo mahakama itamwona Mbowe ana hatia basi masuala ya msamaha wa Rais yataangaliwa huko mbeleni. Au angeelekeza tu kwa DPP kuwa iwapo inaonekana kesi ya Mbowe haina maslahi kwa umoja wa Taifa letu basi aangalie namna ya kuachana nayo
Ukitafakari kwa kina maana anayokuwa amekusudia kuiongea Mh. Rais inatofautiana sana na maneno ambayo humtoka na hivyo badala yake kuzaa minong'onon mingi ambayo kwa kiasi inasumbua sana.
Ukweli wasaidizi wa Mh.Rais kwa upande wa Sheria na hotuba probably hawajajipanga vizuri na kumsababishia kutoeleweka vizuri na WaTanzania na dunia inayofuatilia siasa zetu.
Ushauri - Rais aangalie namna ya kubadili wasaidizi wake upande wa Hotuba na hata Sheria. Hawa watazidi kumharibia sana kadri siku zinavyosonga mbele!
Ni hayo tu.
Mod. ninaomba usiunganishe au kufuta uzi huu kwani umebeba ujumbe wa kipekee!