Sawa Tiganga (J)Hauko sawa kabisa,issue ya mbowe wafuasi wengi tu wa chadema tayari walishafungwa,na eti kumfundusha rais aseme vipi we unappdanganya mkeo au mmeo huwa unaomba kufunzwa?
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nilikuwa nadhani taasisi ya urais ni nyeti na inapaswa kutenda na kutamka kwa hekima na tahadhari,na ndivyo ilivyokuwa. Ile tu kutamka tuheshimu sheria maana yake ama tungoje maamuzi ya mahakama au DPP afute kesi. Hivyo kwa maoni yangu tunapaswa kusubiri moja kati ya hayo mawili yatokee. Nakumbuka tu kwamba Kiswahili kwa mama ni lugha mama.Kuhusu kukosea kosea kwa maneno kunazidi kuongezeka kwa Mheshimiwa Rais wetu. Wkt akihojiwa na BBC aliongea kuwa wenzake Mbowe walishafungwa na ilikuwa inasubiriwa Mbowe tu arudi kutoka ughaibuni naye afungwe!
Ninavyojua mimi kwa mtu asiyeelewa (yaan layman) hata kupelekwa mahakamani ni sawa na kufungwa. Kwa maana hiyo usahihi kwa wakati huo wasiadizi wa Rais walipaswa kuwa wameshaeleza kwa ufasaha kuwa Mbowe alikuwa anasubiriwa akirudi afikishwe mahakamani kujibu tuhuma zake na sio kufungwa kama alivyoeleweka Rais wakati huo.
Leo pia kwa kujua kuwa suala la Mbowe lingejitokeza mkutanoni Rais alipaswa kuwekwa vema kuwa iwapo angegusia issue ya msamaha angeweka "caveat" kuwa iwapo mahakama itamwona Mbowe ana hatia basi masuala ya msamaha wa Rais yataangaliwa huko mbeleni. Au angeelekeza tu kwa DPP kuwa iwapo inaonekana kesi ya Mbowe haina maslahi kwa umoja wa Taifa letu basi aangalie namna ya kuachana nayo
Ukitafakari kwa kina maana anayokuwa amekusudia kuiongea Mh. Rais inatofautiana sana na maneno ambayo humtoka na hivyo badala yake kuzaa minong'onon mingi ambayo kwa kiasi inasumbua sana.
Ukweli wasaidizi wa Mh.Rais kwa upande wa Sheria na hotuba probably hawajajipanga vizuri na kumsababishia kutoeleweka vizuri na WaTanzania na dunia inayofuatilia siasa zetu.
Ushauri - Rais aangalie namna ya kubadili wasaidizi wake upande wa Hotuba na hata Sheria. Hawa watazidi kumharibia sana kadri siku zinavyosonga mbele!
Ni hayo tu.
Mod. ninaomba usiunganishe au kufuta uzi huu kwani umebeba ujumbe wa kipekee!
Huu ndio ukweli, mama anapofikia issue ya mbowe huwa anaongea hadi kuhukumu kabla ya 'mahakama za michongo' haijamuhukumu!Mama nahisi ana ishu personal na Mbowe, kila akitajiwa kuhusu Mbowe huwa anapaniki sana na anajikuta anaropoka mambo yasiyo ya msingi.
Nadhani ni zaidi ya tunayoyajua kuhusu mama na uhusika wake kwa hii kesi ya Mbowe
Kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Rais Samia hajaiva kuongoza nchi. Yule ni rais WA Jamhuri ya Muungano. Lakini Hana mamlaka yoyote Zanzibar. Amekaa snaa Zanzibar na shida za bara hazijui. Kuna baadhi ya maeneo huyu mama hayajui na Hajawahi kufika. Kwa hiyo maisha ya Tanzania bara hayajui.
Kesi ya Mbowe na Sabaya, ni matokeo ya Vita iliyokuwepo wilaya ya Hai Kwa mda mrefu tangu Ole sabaya ateuliwe kuwa DC.
Mamlaka zilishindwa kuonyesha uongozi baadala yake kesi hizi za uhujumu uchumi zinakazaliwa.
Tujiulize kulikuwa na nini wilaya ya Hai??
Utakuwa unapakwa mafuta yaliyokuwa chumbani kwa mwenezi wenu Babu kijana sio bure wewe. Kwa maelezo yangu na yako no vitu viwili tofauti. Kajifute KY unayopakwa ndio uje kusoma vizuri na mjinga babako mbwa wewe sio sababu umekopa MB ndio unakuja na lugha za kipumbavu kuwa na heshima . Blaaaalifaken
Tusameheane tu, JF imevamiwa, unamuelekeza mtu msg kibao kwa ustaarabu yeye anakuja na lugha za hovyo mwisho wa siku unajikuta unamrushia maneno yasiyostaarabika .Pole Sana, Jamaa kakuchefua, imeenda unatukana taratibu mpaka doh hatari
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Naunga mkono yote uliyoandika hapo ndg Mjumbe Kwamba Ni ya kweliUtakuwa unapakwa mafuta yaliyokuwa chumbani kwa mwenezi wenu Babu kijana sio bure wewe. Kwa maelezo yangu na yako no vitu viwili tofauti. Kajifute KY unayopakwa ndio uje kusoma vizuri na mjinga babako mbwa wewe sio sababu umekopa MB ndio unakuja na lugha za kipumbavu kuwa na heshima . Blaaaalifaken