Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
- #41
Yesu alionya "msihukumu ili msije mkahukumiwa"Soma aya za mwishomwisho kwenye biblia(Yohana) kabla Yesu hajapaa mbinguni.
Unalijua hilo andiko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu alionya "msihukumu ili msije mkahukumiwa"Soma aya za mwishomwisho kwenye biblia(Yohana) kabla Yesu hajapaa mbinguni.
🤣🤣Ukinikemea haito saidia mpaka niamue mwenyewe
Kukukemea si lazima nifoke.Nakemea kimoyomoyo tu.Ukinikemea haito saidia mpaka niamue mwenyewe
Hebu nenda kwenye kamusi yako ya mwaka 1988 usome nini maana ya utapeli.
Kuna msemo mmoja unasema time will solve everything. With time rangi halisi za hawa watu zitaonekanaMmoja alikuwa ni msanii maarufu wa uchekeshaji Ila kwa sasa kaokoka na anamtumikia Mungu.
Mwingine alikuwa msanii wa uigizaji bongo movies Ila kwa sasa kaokoka na anamtumikia Mungu.
Pichani ni Bishop Masanja Mkandamizaji na Pastor Irene Uwoya
Inapendeza wanapokutana kwa umoja.
View attachment 3017214
Ni heri kabisaa kimoyomoyo tu nisisikie maana sitochukua hatua yoyote kubadilikaKukukemea si lazima nifoke.Nakemea kimoyomoyo tu.
Kwa maana hiyo wewe hujawakubali hawa watumishi?Kuna msemo mmoja unasema time will solve everything. With time rangi halisi za hawa watu zitaonekana
Ndiyo maana nikakueleza NENO lina mkanganyiko sana.Unasoma hivi,ukienda mbele unakutana na ukinzani.Na hapo ndiyo huwa nacheka sana kwa yafuatayo:-Yesu alionya "msihukumu ili msije mkahukumiwa"
Unalijua hilo andiko?
Roho wa BWANA atafanza kazi yake.Ni heri kabisaa kimoyomoyo tu nisisikie maana sitochukua hatua yoyote kubadilika
Soma maana ya utapeli na ulaghai kwa kutulia.Iache nafsi yako ijifunze.Usitangulize mategemeo.Nijuavyo mie utapeli ni ulaghai.
But neno la Mungu ni kweli na sio ulaghai.
Ni kweli kuna watu husoma neno lakini huwa hawalielewi, watu wa hivyo huitwa watu wasio na maono wasio weza kujizuia.Ndiyo maana nikakueleza NENO lina mkanganyiko sana.Unasoma hivi,ukienda mbele unakutana na ukinzani.Na hapo ndiyo huwa nacheka sana kwa yafuatayo:-
1-mtu kuchukua mstari mmoja wa biblia na kuung'ang'ania hadi anaanzisha kanisa lake.
2-ustaadh uchwara anaokota mstari mmoja wa biblia na kuomba mdahalo hadharani bila kutumia busara.
3-mtu kuhama dhehebu aidha kwa kutoelewa mstari wa biblia au maudhui ya sehemu anaposali.Vichekesho hadi keshokutwa.
Unaona sasa?UPENDO ndiyo msingi.Ni kweli kuna watu husoma neno lakini huwa hawalielewi, watu wa hivyo huitwa watu wasio na maono wasio weza kujizuia.
Mungu kanipa kufanya maamuzi atanishawishi 2 maamuzi kwanguRoho wa BWANA atafanza kazi yake.
Fumba macho tuombe dua njema. Ila weka simu vizuri kampuni ya uchukuzi/Mapembelo Cargo wasipite nayo.🙏😎Mungu kanipa kufanya maamuzi atanishawishi 2 maamuzi kwangu
Siku mapepo yakikuvagaa ndipo utajua umuhimu wa hao Wagalatia, na utakuwa kondoo kama kondoo wengine.Wagharatia ni kondoo sana, na wao wana waumini wao🤣🤣🤣
Kwa hiyo sii mbaya tukisema witomaokoto ya kondoo🫠Wito wameupata na wanatumika.
Maokoto huwa hawayapati kwa kuiba hela za watu bali mtu hutoa sadaka kwa hiari yake mwenyewe.
Upendo haujivuni, hauhesabu mabaya..... huvumilia yote.Unaona sasa?UPENDO ndiyo msingi.
Hapana wataniponya nitawalipa sadaka yao nitaedelea na maisha yangu siez tenga kuda wangu kila week kusikiliza Uchoko.Siku mapepo yakikuvagaa ndipo utajua umuhimu wa hao Wagalatia, na utakuwa kondoo kama kondoo wengine.
Wito ni kueneza injili, maokoto ni lugha iliyoletwa tu na kina Nchemba.Kwa hiyo sii mbaya tukisema witomaokoto ya kondoo🫠