Inapendeza sana kwa waliokuwa waigizaji wanapokutana wakiwa watumishi kanisani

Inapendeza sana kwa waliokuwa waigizaji wanapokutana wakiwa watumishi kanisani

Mmoja alikuwa ni msanii maarufu wa uchekeshaji Ila kwa sasa kaokoka na anamtumikia Mungu.

Mwingine alikuwa msanii wa uigizaji bongo movies Ila kwa sasa kaokoka na anamtumikia Mungu.

Pichani ni Bishop Masanja Mkandamizaji na Pastor Irene Uwoya

Inapendeza wanapokutana kwa umoja.

View attachment 3017214
Kuna msemo mmoja unasema time will solve everything. With time rangi halisi za hawa watu zitaonekana
 
Yesu alionya "msihukumu ili msije mkahukumiwa"

Unalijua hilo andiko?
Ndiyo maana nikakueleza NENO lina mkanganyiko sana.Unasoma hivi,ukienda mbele unakutana na ukinzani.Na hapo ndiyo huwa nacheka sana kwa yafuatayo:-
1-mtu kuchukua mstari mmoja wa biblia na kuung'ang'ania hadi anaanzisha kanisa lake.
2-ustaadh uchwara anaokota mstari mmoja wa biblia na kuomba mdahalo hadharani bila kutumia busara.
3-mtu kuhama dhehebu aidha kwa kutoelewa mstari wa biblia au maudhui ya sehemu anaposali.Vichekesho hadi keshokutwa.
 
Ndiyo maana nikakueleza NENO lina mkanganyiko sana.Unasoma hivi,ukienda mbele unakutana na ukinzani.Na hapo ndiyo huwa nacheka sana kwa yafuatayo:-
1-mtu kuchukua mstari mmoja wa biblia na kuung'ang'ania hadi anaanzisha kanisa lake.
2-ustaadh uchwara anaokota mstari mmoja wa biblia na kuomba mdahalo hadharani bila kutumia busara.
3-mtu kuhama dhehebu aidha kwa kutoelewa mstari wa biblia au maudhui ya sehemu anaposali.Vichekesho hadi keshokutwa.
Ni kweli kuna watu husoma neno lakini huwa hawalielewi, watu wa hivyo huitwa watu wasio na maono wasio weza kujizuia.
 
Kwa hiyo sii mbaya tukisema witomaokoto ya kondoo🫠
Wito ni kueneza injili, maokoto ni lugha iliyoletwa tu na kina Nchemba.

Hivi unajua kuwa kondoo wanaopatika katika injili ni mali ya Yesu na sio ya yule aliyehubiri?
 
Back
Top Bottom