Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Sijasema sijawakubali but nimesema with time intention zao zitajulikanaKwa maana hiyo wewe hujawakubali hawa watumishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasema sijawakubali but nimesema with time intention zao zitajulikanaKwa maana hiyo wewe hujawakubali hawa watumishi?
Kuna Movie moja ya Uwoya na Kanumba (nmesahau jina) nakumbuka tuliichek Pale Bwaloni Same Boys enzi zilee...kutoka apo wana wakaenda kupiga nyeto balaaMmoja alikuwa ni msanii maarufu wa uchekeshaji Ila kwa sasa kaokoka na anamtumikia Mungu.
Mwingine alikuwa msanii wa uigizaji bongo movies Ila kwa sasa kaokoka na anamtumikia Mungu.
Pichani ni Bishop Masanja Mkandamizaji na Pastor Irene Uwoya
Inapendeza wanapokutana kwa umoja.
View attachment 3017214
Na wakikuponya halafu ukarudi kule kule ulikotolewa hayo mapepo yatakurudia dazani na utakuwa kichaa wa kutembea uchi wa mnyama pasipo kuona aibu.Hapana wataniponya nitawalipa sadaka yao nitaedelea na maisha yangu siez tenga kuda wangu kila week kusikiliza Uchoko.
Watumishi wa uma au sirikariAcha kuwasema vibaya watumishi.
Bila shaka ni kama alivyojulikana mzee wa upako.Sijasema sijawakubali but nimesema with time intention zao zitajulikana
Watumishi wa Yesu KristoWatumishi wa uma au sirikari
Wewe hukupiga nyeto?zilee...kutoka apo wana wakaenda kupiga nyeto balaa
Hawawezi kua watushi wa Yesu Kristo hata kwa bahati mbaya hao ni wahuni tuuWatumishi wa Yesu Kristo
Mhuni anawezaje kumkemea pepo?Hawawezi kua watushi wa Yesu Kristo hata kwa bahati mbaya hao ni wahuni tuu
Asomae na afahamu, maandiko matakatifu kwenye BIBLIA TAKATIFU yamesha tufundisha jinsi gani tutawajua walio wakweli na waongo, narudia tena hao ni wahuni tuuMhuni anawezaje kumkemea pepo?
Sasa mbona halna tofauti na wagangaNa wakikuponya halafu ukarudi kule kule ulikotolewa hayo mapepo yatakurudia dazani na utakuwa kichaa wa kutembea uchi wa mnyama pasipo kuona aibu.
Kusikiliza mafundisho sio uchoko bali ni kujiimalisha ili shetani asikufanye mnyonge wake.
Unataka kuniambia wewe ni mdau wa waganga wa kienyeji?Sasa mbona halna tofauti na waganga
Wahuni hawawezi kukemea mapepo kwa jina la Yesu.Asomae na afahamu, maandiko matakatifu kwenye BIBLIA TAKATIFU yamesha tufundisha jinsi gani tutawajua walio wakweli na waongo, narudia tena hao ni wahuni tuu
Kwa mzee Yusuph ni kugumu kule ndgu 😂😂.Nachelea kusema kuwa hata hicho unachokiona ni muendelezo wa maigizo maana hao watu sanaa ipo kwenye damu na ni suala la muda tu utakuja kubaini hilo.
Umesahau mwenendo wa Mzee Yusuph baada ya kutoka hija na sasa kipi kinaendelea?
Njia pekee itakayowafanya wabaki huko ni pale ambapo itadhihirika beyond reasonable doubt kwamba sanaa ya utumishi wa Mungu inalipa kuliko sanaa ya maigizo na uchekeshaji.
Ndivyo muwazavyo wabongo, migegedo kwa kwenda mbele 🤣Usikute walivyo maliza kupiga iyo picha walienda kufanya matusi kwa gesti. Nawaza tu.
Dume la mbegu.Wewe ni Ke ama Me?
Siku hizi hata wasanii wa bongo fleva wanataka jina Yesu kwenye nyimbo zao sembuse hao wahuniWahuni hawawezi kukemea mapepo kwa jina la Yesu.
Waite wahuni iwapo wanakemea pepo kwa jina la Rick Ross 😂😂