Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap!ila ndio nakusalimu mkwe, uli nkafu!?Nzuri baba au Hivi ndivyo utakavyomsalimia?
Uinuke zeze mnaa.....!Inapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
Mbona hapo umeenda mbali sana jamaa kuna mtoto wake wa kambo(mtoto wa mke wake) anamzidi umri, yani mtoto ana umri mkubwa kumzidi baba😁😁😁😁Rais wa ufaransa anampa salamu gani mkewe na mama mkwe wake je?
Duh!Macron asijisifu kwa huyo jamaa yako.😂😂😂😂Mbona hapo umeenda mbali sana jamaa kuna mtoto wake wa kambo(mtoto wa mke wake) anamzidi umri, yani mtoto ana umri mkubwa kumzidi baba😁😁😁😁
Sasa apo mkuu si uowe uyo mama mkwe maana haiwezekani uwe umemzidi adi mzaa chema!!! Kama ndo ivyo me siwezi kibali uowe binti yangu na una umri unanizidi adi mimi baba mtotoInapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
Ila kuna umri lazma tujitaidi kubalance mamboMaisha hayana formula.
Kunamahala tulienda kuposa, maza mkwe akawa kama amemwwlewa Mkwewe, mara anampigia simu " eti Mkwe leo hatunywi beer?" Mara leo hatuli kitimoto" nikamwambia mwanangu usipoteze muda goli lilo wazi hilo....!!!Inapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
Kwa hiyo manung'uniko na migogoro tunaianzisha wenyewe?😝😝😝😝Sasa apo mkuu si uowe uyo mama mkwe maana haiwezekani uwe umemzidi adi mzaa chema!!! Kama ndo ivyo me siwezi kibali uowe binti yangu na una umri unanizidi adi mimi baba mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Posa iliendelea?Kunamahala tulienda kuposa, maza mkwe akawa kama amemwwlewa Mkwewe, mara anampigia simu " eti Mkwe leo hatunywi beer?" Mara leo hatuli kitimoto" nikamwambia mwanangu usipoteze muda goli lilo wazi hilo....!!!
Kilichofuata ndo kupiga shoot!!
Ata kama lazma ubalance mambo.Umri haupigi hodi kuna wa 60 yrs hawaja settle down.