Inapotokea umemzidi umri mama mkwe unampa salamu gani

Inapotokea umemzidi umri mama mkwe unampa salamu gani

Ukiona hujaelewa basi juwa hujaandikiwa wewe, si lazima kila kitu uelewe, walengwa wameelewa.

Ndio hata kwenye kingereza Dictionary tunaandika "Dikshenari"

Punguza ujuwaji.
Kumbe mwandishi mwenye kihiyo anajitia kujua kifaransa wakati mtupu. Sema sijui badala ya kutete ujinga dogo
 
Unamuangalia tu usoni kwa staili hii👇, mpaka akuamkie
chewing-kangaroo (1).gif
 
Ukimsalimia unapungukiwa nini kumbuka salama ni ishara ya heshima lakini ndani yake unamjualia hali muhusika simple mtu unakaza misuri ya ubongo kisa salamu wewe salimia tu
 
Pita nae mtaanza kuheshimiana na atakusalimu wewe. Piga kuku na yai lake!!!
 
Back
Top Bottom