Inapotokea umemzidi umri mama mkwe unampa salamu gani

Inapotokea umemzidi umri mama mkwe unampa salamu gani

Huyo mwanaume n mlaf Sana

Kwann aoe mjukuu wake kabisaa

Matatizo mengine tunayatafuta wenyewe TU

Mke wako unamzid miaka 25 lazima tu utombewe na vijana halafu aanze kulialia

Kwa umri wake alitakiwa amuoe mtu mwenye rika au linalokaribiana na mama mkwe wake

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Haikuwa mpango wa Mungu iwe hivi, ila ni uchu wa binadamu tu.

Hapa ndipo umuhimu wa salamu za kilugha au za kidini unapokuja.

Asalaam Aleykum

Bwana asifiwe

Tumsifu yesu kristu

Shimboni maye

Good morning my in-law

Kwa mifano hiyo michache ndio ujuwe kiswahili ni lugha ya majungu tu, Mama Samia alikuwa sahihi kuhutubia kwa kingereza kule UN. [emoji1][emoji1]
Mwisho Utampa Salaam Ya Jamhuri
Haa
 
AY8uGr.jpg
 
Bonjour, bonjour, comasavor, saver bien.

Ni kiswahili tu ndio lugha ya majungu na kutafutana lawama, utalisikia jitu wewe uamkii wakubwa siku hizi?
Hiyo lugha gani baada ya bonjour? Ulimaanisha ca va bien au comment allez vous ma mere?
 
Back
Top Bottom