Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi binafsi yamenikuta Sky Eclat . Nimekuwa nampa SHIKAMOO yake. Na ameshaizoeaInapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
Yaan Mweza umemzidi miaka 20 ?Hakupaswa kuwa hivyo lakini inatokea, umezaliwa 1978, mwenza alizaliwa 1998 na mama mkwe alizaliwa 1980
muawie mlalo hambu bumbui[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] hangwe onga mahundo!
Mwisho Utampa Salaam Ya JamhuriHaikuwa mpango wa Mungu iwe hivi, ila ni uchu wa binadamu tu.
Hapa ndipo umuhimu wa salamu za kilugha au za kidini unapokuja.
Asalaam Aleykum
Bwana asifiwe
Tumsifu yesu kristu
Shimboni maye
Good morning my in-law
Kwa mifano hiyo michache ndio ujuwe kiswahili ni lugha ya majungu tu, Mama Samia alikuwa sahihi kuhutubia kwa kingereza kule UN. [emoji1][emoji1]
kwa sunga ,mtae henyewe, langoni[emoji16][emoji16]naahateita kosheni....Mtae
Salamu ni mbowe ni gaidiInapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hiyo manung'uniko na migogoro tunaianzisha wenyewe?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Hiyo lugha gani baada ya bonjour? Ulimaanisha ca va bien au comment allez vous ma mere?Bonjour, bonjour, comasavor, saver bien.
Ni kiswahili tu ndio lugha ya majungu na kutafutana lawama, utalisikia jitu wewe uamkii wakubwa siku hizi?
Ukiona hujaelewa basi juwa hujaandikiwa wewe, si lazima kila kitu uelewe, walengwa wameelewa.Hiyo lugha gani baada ya bonjour? Ulimaanisha ca va bien au comment allez vous ma mere?